TangataUnyakeWasu
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 1,269
- 1,585
Ikipatikana dawa naomba na mimi nipewe
Kama ni mwanamke ni ishara gani mkuu?wewe ni mwanamke au mwanamme?
Mzizi mkavu kumbe upo nicheki inboxkapime kwanza hospitali figo lako je lipo sawa? kama hawajaona kitu utakuwa una mambo ya uchawi mwilini mwako. Kuhisi vitu vinatembea mwilini mwako itakuwa ni Dalili ya mambo ya uchawi huenda pia una shetani mbaya anaye kusmbuwa mwilini mwako. jichunguze pia unapo lala usiku huwa unaota ndoto za aina gani?
Duh!! Mkuu ugonjwa wa kikundu kama mwanaume anakufanyia upusuaji daktari wa jinsia gani?Tumbo kuunguruma ni gesi ipo tumboni inaonyesha unakaa muda mrefu bila ya kula ndio maana tumbo lako linakuwa lianunguruma kwa mshindo. lakini sio madhara basi hiyo inakukera wee. Jambo la pili ni kwa kutopata haja kubwa inategemea ulaji wako wa chakula jaribu kubadilisha...
upasuaji hauzidi zaidi ya dakika 30 angalia huo uvimbe hapo.Duh!! Mkuu ugonjwa wa kikundu kama mwanaume anakufanyia upusuaji daktari wa jinsia gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa yake ni kunya tu. Mara tano kwa kutwa kwa mda wa mwezi mzima tatizo lako litakoma kabisa. Huna tatizo ila umejaza haja kubwa tumboni. Acha uzembe wa kutokwenda toilet.
😂😂😂😂😂😂Futuru kikundu 🏃🏃🏃🏃🏃🏃Tumbo kuunguruma ni gesi ipo tumboni inaonyesha unakaa muda mrefu bila ya kula ndio maana tumbo lako linakuwa lianunguruma kwa mshindo. lakini sio madhara basi hiyo inakukera wee. Jambo la pili ni kwa kutopata haja kubwa inategemea ulaji wako wa chakula jaribu kubadilisha...
njaaaaaaa tafuta ugali wa nguvu
Nipo hapa nasubiria majibu. Maana langu linanguruma na kukata. Hasa nikiwa nasikia njaaDawa ya tumbo kunguruma, tumbo inanguruma sana
.