Purely double standard.Kwa nini Tanzania inaitambua Serikali ya Somalia.Wakati vigezo vyote vilivyotajwa hapo juu haifikii.Waziri Membe Kachemka.Membe atofautishe Freedom fighters na rebels.Wale ni wapigania uhuru kuwaita rebels ndio kunamfanya membe achanganyikiwe.Nilimsikiliza naona kwenye...
Ni kweli hayapigi kura lakini ndiyo yamebeba hatima ya maisha ya wapiga kura baada ya chaguzi kwa kupitia ajira na kodi kama nilivyosema.Wananchi wakitaka barabara utajengea nini? kodi na kodi kubwa si zile ndogo.Kampuni ndio zina hizo hela za kodi.Ndio maana marekani na usomi wao wanasiasa...
Makampuni marekani ndio mwajiri mkubwa wa raia wa marekani usipoongea naye na usipolinda maslahi yake unadhani marekani itaishi? Tanzania walipa kodi wakubwa ni makampuni sio raia wapiga kura sasa serikali isipoangalia maslahi ya makampuni na kuyalinda hizo kodi kubwa za kutengeneza barabara na...
Kampuni yoyote katika nchi yoyote ni corporate citizen yenye haki kama raia yoyote. Yana uhuru wa kuchangia michango chama chochote inachoona kitasimamia maslahi yake kikiingia madarakani.
Kwa Tanzania CCM ni chama ambacho kwa ufahamu wangu ndicho kinajali na kuwasikiliza Corporate Citizen...
Nakubaliana na wewe kuwa Nyerere ilibidi aweke misingi kuanzia mwanzoni lakini naamini Uongozi wa nchi ni kama mbio za kukimbizana vijiti anayepokea inabidi aanzie mwenzie alipoishia na kutimua mbio zaidi ikiwezekana kuliko aliyetangulia.Nyerere alianzisha wengine walitakiwa waendeleze...
Kuna watu wengi wanaamini nchi ili iende unahitaji utoze kodi.Si kweli.Korea ya Kaskazini inaenendeshwa bila kodi kwa miaka mingi sasa .Na ni marufuku kulipa kodi ya mapato korea.Wanachofanya wao wanaamini serikali haziwezi kuendesha nchi kwa kujiamini kama haina vitega uchumi vyake vya maana...
Kwa viwango vya usafi vya India na wahindi ni misafi ila kwa viwango vya usafi vya Tanzania Na dunia sijui.Kwani Tanzania ni ya ngapi kwa usafi duniani? Kwa viwango vya dunia?
Maji tunaambiwa ni uhai. Ukikaa mbali nayo hutaki uhai.
Nimetembea sehemu nyingi Tanzania unakuta mito inatiririka maporini ikiwa yatima bila watu karibu wakiwa wanakaa mbali na mito wengine kilomita hata 10 au zaidi toka mto ulipo.
Halafu kitu cha ajabu unakuta wanatuma wabunge wakaombe...
Kwa nini wasijaribu kwanza kuwaona viongozi wenzao wa dini.Waone kama watakubali au watakataa.Sisemi wakamwone OBAMA wala wala kiongozi wa kiserikali nataka watumie ushawioshi wa kidini ku-win soko.Mbona kawaida vitu hivi.Hata Mabenki yanatumia (Islamic Banking) kuuza product zao kidini.hATA...
Walijenga kwa pesa zao halali.Kama waliiba serikali ilipotaifisha mbona iliamua kuwalipa fidia ya kuzichukua? Au wewe kutaifisha unafikiri serikali ilichukua bure na kuwatimua?
Au wewe una ushahidi kuwa kuna wamiliki wa hizo nyumba waliwahi pelekwa mahakamani kwa wizi wa pesa walizojengea hizo...
Kwani hizo nyumba za NHC Wanazokaa nani alijenga? kama hujui ni wahindi walijenga serikali ikataifisha na sasa wamerudi kukaa tatitzo liko wapi?
Ungeuliza waswahili wanaokaa NHC ndio wakajenge zao.Wahindi hayo maghorofa ya NHC kariakoo,upanga, katikati ya mji kalitafute lilojengwa na Mswahili...
Inafanya kazi.Mfano ukiwa na kiwanda cha kusindika nyama Tanzania usahau kupeleka hizo nyama kama hazijachinjwa kiislamu( halal food).Hivyo muislamu anaweza market vizuri kuliko mfanyabiashara ambaye si muislamu.
Kuhusu Katiba hakuna katiba duniani iwe ya ulaya au marekani inayoagiza kuwa...
Watanzania wanapenda sana kulala.Ukigombana naye tu atakuambia usinibabaishe nina kwangu (kwa kulala).
Kuna wimbo wa zamani niliimba shule unasema "Wazee wa zamani walilala mapangoni katika nchi Tanzania" Walipenda sana kulala.Baadaye inasemekana wazee walikuwa wanalalia pesa.
Leo hii miaka...
Tanzania ina dini kubwa nyingi ambazo makao yao makuu yako Asia,Ulaya na Marekani ambako kuna matajiri wakubwa ambao wamekuwa wakileta misaada kila mwaka nchini.Lakini misaada hii imekuwa katika vitu vidogo ambavyo havisaidii sana kuondoa umaskini wa mtu mmoja mmoja.<BR><BR>Njia moja nzuri ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.