RICHEST
Member
- Jun 23, 2011
- 25
- 16
Maji tunaambiwa ni uhai. Ukikaa mbali nayo hutaki uhai.
Nimetembea sehemu nyingi Tanzania unakuta mito inatiririka maporini ikiwa yatima bila watu karibu wakiwa wanakaa mbali na mito wengine kilomita hata 10 au zaidi toka mto ulipo.
Halafu kitu cha ajabu unakuta wanatuma wabunge wakaombe serikali iwapelekee maji kwani wanachota umbali mrefu kiasi cha kushindwa kufanya shughuli zingine za maendeleo. Hivi kwa nini wasihamie karibu na hiyo mito au serikali badala ya kugharimia miondo mbino ya maji iwahamishie huko kisha iachane nao waendelee chota Ili wasiendelee sumbua bunge na sirikali?
India kuishi karibu na mto ni bahati sana tena watu hufurahi mito yote imefurika wakazi pembezoni.Hivi watanzania wengi vijijini mbona wanakaa mbali na mito kwa nini? pita njia zote za barabara kuu na ndogo hali ni hiyo.
Nimetembea sehemu nyingi Tanzania unakuta mito inatiririka maporini ikiwa yatima bila watu karibu wakiwa wanakaa mbali na mito wengine kilomita hata 10 au zaidi toka mto ulipo.
Halafu kitu cha ajabu unakuta wanatuma wabunge wakaombe serikali iwapelekee maji kwani wanachota umbali mrefu kiasi cha kushindwa kufanya shughuli zingine za maendeleo. Hivi kwa nini wasihamie karibu na hiyo mito au serikali badala ya kugharimia miondo mbino ya maji iwahamishie huko kisha iachane nao waendelee chota Ili wasiendelee sumbua bunge na sirikali?
India kuishi karibu na mto ni bahati sana tena watu hufurahi mito yote imefurika wakazi pembezoni.Hivi watanzania wengi vijijini mbona wanakaa mbali na mito kwa nini? pita njia zote za barabara kuu na ndogo hali ni hiyo.