RICHEST
Member
- Jun 23, 2011
- 25
- 16
Kampuni yoyote katika nchi yoyote ni corporate citizen yenye haki kama raia yoyote. Yana uhuru wa kuchangia michango chama chochote inachoona kitasimamia maslahi yake kikiingia madarakani.
Kwa Tanzania CCM ni chama ambacho kwa ufahamu wangu ndicho kinajali na kuwasikiliza Corporate Citizen wanasemaje kabla ya kwenda kwenye chaguzi. The rest of parties naona wao wako zaidi na kelele za kukimbizana na individual voters na kuwaona corporate citizens kama wasio na maana ku-take into considerations interest zao wanapoandika party manifesto zao au katika campains zao.
Ndio maana ni vigumu kuona wahindi wakijiunga na opposition parties sababu wahindi wengi iko na companies lazima kujua chama ghani kitasimamia maslahi ya corporate citizen ya kampuni yako kabla ya kujiunga.I am sorry to say opposition parties are not pro corporate citizens .I don`t know why.
Ndio maana makampuni kama yanataka kuchangia ni vizuri yapeleke CCM. Sera za vyama vingine sijaelewa maana naona wanashambulia tu makampuni ya madini na ya kigeni as if they are not citizens.n.k nadhani ni vizuri pia waelewe kuwa makampuni ni corporate citizens na ni raia kama walivyo raia wengine na wasiwashambulie wakichangia CCM sababu wanaona wakichangia CCM italinda na kutetea maslahi yao as corporate citizen tofauti na opposition.
Samahani kuchanganya kingreza mtu anasaidia kunisahishia kiswahili hayupo kasafiri.
Kwa Tanzania CCM ni chama ambacho kwa ufahamu wangu ndicho kinajali na kuwasikiliza Corporate Citizen wanasemaje kabla ya kwenda kwenye chaguzi. The rest of parties naona wao wako zaidi na kelele za kukimbizana na individual voters na kuwaona corporate citizens kama wasio na maana ku-take into considerations interest zao wanapoandika party manifesto zao au katika campains zao.
Ndio maana ni vigumu kuona wahindi wakijiunga na opposition parties sababu wahindi wengi iko na companies lazima kujua chama ghani kitasimamia maslahi ya corporate citizen ya kampuni yako kabla ya kujiunga.I am sorry to say opposition parties are not pro corporate citizens .I don`t know why.
Ndio maana makampuni kama yanataka kuchangia ni vizuri yapeleke CCM. Sera za vyama vingine sijaelewa maana naona wanashambulia tu makampuni ya madini na ya kigeni as if they are not citizens.n.k nadhani ni vizuri pia waelewe kuwa makampuni ni corporate citizens na ni raia kama walivyo raia wengine na wasiwashambulie wakichangia CCM sababu wanaona wakichangia CCM italinda na kutetea maslahi yao as corporate citizen tofauti na opposition.
Samahani kuchanganya kingreza mtu anasaidia kunisahishia kiswahili hayupo kasafiri.