Recent content by richardmbilinyi

  1. richardmbilinyi

    Nape, Mwigulu, Juliana na Mwampamba ndio wanaokidhalilisha na kuitia aibu CCM!

    WARAKA WA WAZI KWA Mwigulu Nchemba Nape Moses Nnauye na Mtela Mwampamba CCM 'INAANGUKA' KWA KUACHA MISINGI YAKE NA MALENGO YAKE YA KUANZISHWA. Chama Cha Mapinduzi CCM kipo katika hata ya kuanguka kwa kuacha misingi yake ya kuanzshiswa na hasa suala la kutumia Rasilimali watu katika kujenga...
  2. richardmbilinyi

    Viitikio vipya vya chama kubwa CHADEMA

    VIITIKIO VIPYA VYA CHAMA KUBWA CHADEMA: "CHANGE...............WITH CHADEMA" Muongozaji anasema "CHANGE" .....Watanzania wapenda maendeleo wanaitikia "WITH CHADEMA" KWA KISWAHILI: "MABADILIKO.................NA CHADEMA" Muongozaji atasema MABADILIKO Inaweza kuwa kwenye Elimu, Afya, Miundombinu...
  3. richardmbilinyi

    Viitikio vipya vya chama kubwa CHADEMA

    VIITIKIO VIPYA VYA CHAMA KUBWA CHADEMA: "CHANGE...............WITH CHADEMA" Muongozaji anasema "CHANGE" .....Watanzania wapenda maendeleo wanaitikia "WITH CHADEMA" KWA KISWAHILI: "MABADILIKO.................NA CHADEMA" Muongozaji atasema MABADILIKO Inaweza kuwa kwenye Elimu, Afya, Miundombinu...
  4. richardmbilinyi

    CHADEMA wanaingilia Ngome ya CUF - Mtatiro

    Temeke kuna Waislam Wengi thats why kasema hivyoooo........But anajidanganya bure
  5. richardmbilinyi

    Mahojiano yangu na Mtanzania: Nitagombea uenyekiti wa BAVICHA

    Mfupa (CHADEMA) uliomshinda Fisi (CCM) wewe (J. Shonza) utauweza.........Kwasasa tulia2 mdogowangu fanya mambo mengine...............ushauri wangu kwako...............Mienajipitia2:target::bowl::rofl:
  6. richardmbilinyi

    Nilikosea sana kumkosoa kaka yangu alowahita CHADEMA genge la wahuni

    PEOPLES POWER EVERY PLACE,......KEEP IT REAL CHADEMA........BRAVO CHADEMA:israel::israel::israel::israel::israel: :evil::evil::evil:
  7. richardmbilinyi

    Siwezi kuipenda CHADEMA mpaka itueleze mambo matatu

    Kwelii wewe ni mburula, hata rangi tu unahoji, mbona vodacom ilitoka blue mpaka red, hii inamaana au upenzi 2, mbona simba ni nyekundu kwani wao wamemwaga damu acha kulishwa sumu think big
  8. richardmbilinyi

    Tuhuma nzito za ufisadi dhidi ya Mwakyembe pale ATC

    Kwa Dr. Mwakyembe Mtangoja sana:israel::israel:
  9. richardmbilinyi

    JK amteua Dr Migiro kuwa Mkuu wa OUT

    Kwanini Dr. Asha Rose Migiro? kila kitu yeye? Naanza kuwa namashaka uhusiano uliopo hapa:A S-baby:
  10. richardmbilinyi

    Gazet la Mwananchi: 'Pinda azima uasi'

    Wenzenu tushalishutukia hilo gazeti la Mwananchi siku nyingi ni la Chama cha Mapinduzi (CCM) hahahahahahah Amkeni:evil:
  11. richardmbilinyi

    Waziri Wassira agonga mwamba sakata la uchinjaji nyama Mwanza!

    Kila mtu achinje kile anachokula tu........Mfano: Kitimoto, Kondoo, Mbwaaa, Panyaa, Sungura, Ngombe, Mbuzi............na hata kuku.....
  12. richardmbilinyi

    Katibu CCM kuhojiwa na TAKUKURU...

    Kawaida sana
  13. richardmbilinyi

    Mwanasiasa bora kijana 2012 Tanzania

    J. Mnyika juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu zaidi ya hao woteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
  14. richardmbilinyi

    Jeuri ya wanaoingiza mafuta machafu kuichezea serikali hii hapa...

    Hongera sana Waziri Dr. Harrison Mwakyembe kwani misimamo hii hatukuizoea kwenye serikari hiii...Mungu akupe maisha marefu ili uendeleee kuiongoza nchiii hiii ya Tanzania wanyonge..
  15. richardmbilinyi

    Nafasi wazi ya Shonza BAVICHA yupi anafaa?

    Hivi chadema hakuna watu wenye uwezo, maana naona wanamuongelea esta wassira wakati kaingia juzi tu cdm, usilogwe na uongeaji mtabugi sana jamani tumuache huyu mdada akae hata miaka 5 tumjue vizuri.....tusikurupuke......cdm inawasomi wengi sana
Back
Top Bottom