Siwezi kuipenda CHADEMA mpaka itueleze mambo matatu

Siwezi kuipenda CHADEMA mpaka itueleze mambo matatu

na mara nyingi rangi nyekundu ni ishara ya kumwaga damu. angalia nchi zote zilizopata uhuru kwa kumwaga damu utaona hiyo rangi nyekundu kwenye bendera zao.
 
Huwezi kupata majibu kwa hawa vishoka wao waliomo humu ndani hawajui chochote zaidi ya kumtetea Babu
 
Kwa nini vuguvugu la M4C halina mashiko kwa wa Tanzania? CHADEMA inapenda saana kushika dola kwa hali na mali. Lakini haijajiweka sawa kwa watanzania hasa katika mambo makuu manne.
1 nini itikadi ya CHADEMA?? Wakati hiki chama kinasajiliwa kilisema ninafuata itikadi ya kibepari na ndo maana kikapata urafiki wa conservative party na hatimaye uanachama wa conservative union lakini majukwaani chadema inaimba sana siasa za ujamaa yaani egalitarian

2 kwa nini CHADEMA ilibadilisha bendera yake na kuweka rangi nyekundu?? Nini maana ya hii rangi kwetu sisi Watanzania??

3 kwa nini haitoi mbadala wa mambo ya kuleta maendeleo badala yake ni kulaumu tu kila jambo hata kama viongozi wenyewe wa CHADEMA ni matunda wa hayo wanayoyabeza.

4 kwa nini ushabikia kila uasi ndani ya nchi, ina maana hata chadema ikishika dola itabariki vurugu za kila aina ndani ya nchi??
we acha ujinga,hutajibiwa upuuzi wako hata usipokipenda CHADEMA Hutapunguza chochote!GAMBA MKUBWA WEWE!
 
it won't happen to me to love that lichama mpaka libadilishe sera zake za ukanda, udini na ukabila, full stop

haulazimishwi kujiunga cdm kwani mbona unagombana na ukuta. vyama viko vingi tu nenda huko. mtaumia sana kuhsu cdm na bado inapasua mawimbi.
 
Hukumpenda mama aliyekubeba tumbon miezi tisa, utaipenda chadema? wee gamba vip......!
 
Uvivu wa kusoma, haya mambo
yapo kwenye mtandao, unasubiri wakusomee, basi kajiunge na magamba
tujue moja

Huo mda wa kubishana na kikojozi mnapata wapi? Ajiulize wazazi wake waliwaza nini kuzaa kilaza kama yeye.
 
Kwelii wewe ni mburula, hata rangi tu unahoji, mbona vodacom ilitoka blue mpaka red, hii inamaana au upenzi 2, mbona simba ni nyekundu kwani wao wamemwaga damu acha kulishwa sumu think big
 
Back
Top Bottom