Recent content by RichardC19

  1. R

    Chris Mauki: Hatua tano za penzi

    Kivuyo A J, Yaani najiona kabisa niko hatua ya tatu
  2. R

    Zifahamu nyakati 5 kuu ambazo wanaume huchepuka kwa wingi

    Hiyo survey umeifanyia wapi mkuu, ningefurahi unishirikishe kwa matokeo zaidi juu ya heshima kutamalaki nyumbani, unless wewe ni mwanamke unajipa tu credit
  3. R

    Askofu Shao amgeuka Magufuli, asema mizengwe kwenye uchaguzi mdogo ni ishara serikali haielewi maana ya demokrasia

    Ni wananchi gani unasema wataelewa? Hawa ambao wanaaswa kila siku kuacha dhambi(rushwa, ufisadi, wizi, n.k.) na kila siku matendo hayo yanaongezeka?
  4. R

    Ili tuendelee tunahitaji vitu 4, hebu tujipime tulipo

    Haiwezekani kujadili siasa safi na uongozi bora ukaacha watu. Kwangu mimi hivi vitatu (watu, uongozi bora na siasa safi) ndo vya kujadiliwa. Watu, uongozi bora na siasa safi ndo vinavyopanga na kutumia ardhi. Siasa safi na uongozi bora vyote viwili vinategemea na watu.
  5. R

    Watoto wa kike husaidia wazazi baada ya kuolewa kuliko wa kiume

    Huyo mpongezaji alikuwa wa kiume au wa kike?
  6. R

    Hii ndo Thamani Kubwa sana ya mwanamke...Pia Kujua tofauti ya Private Parts na Public Parts

    Wengine kukaa uchi ndo mtindo mmoja, hata kubandika vibao vya private hawajali, muda wote ni unamkuta kweka kibao cha public tu.
  7. R

    Hii ndo Thamani Kubwa sana ya mwanamke...Pia Kujua tofauti ya Private Parts na Public Parts

    Bado hujataja bodaboda, madreva tax na wale wa malori. Kisa eti unasave hela yako kwa lift! Shame!
  8. R

    Rais Magufuli atafilisi nchi kwa kutoa maagizo ya kishabiki majukwaani

    Nilitarajia utakuja na taarifa za uhakika kuwa hiyo bajeti kwa ajili ya barabara tajwa haipo, kumbe na wewe huna uhakika? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. R

    Julai 2017: Nyongeza za mishahara na kupandishwa vyeo - Kilio cha Watumishi wa Umma

    Pole sana! Sent using Jamii Forums mobile app
  10. R

    Jiji la Dar chini ya UKAWA latwaa tuzo ya dunia!

    Mkuu Yeriko, hivi ni wewe umepost huu uzi kweli? Au kuna mtu katumia id yako? Siamini!
  11. R

    Wadada smartphone ndio sitakazokuja kuwaoa

    We unasema binti, mbona ndo imekuwa kazi kwa wanawake waliolewa kiasi kwamba wanasahau hadi majukumu yao. Kuna hatari hizi smartphone zikajavunja ndoa sana tuendako.
  12. R

    Msimamo wa CHADEMA waparaganyika

    Na hilo ndilo wengi wakashifu CCM wanapokosea.
  13. R

    Wakati yote yanafanyika Usalama wa Taifa walikuwa wapi?

    Asante kwa swali lako na kwa hakika linafikirisha sana. Unajua siku hizi kuna terminologies kama collaboration, team work na partnership. Ni maneno mazuri sana lakini kwa mtazamo wangu yamechangia sana kulileta taifa hapa tulipo na matatizo yake. Ukiona wizi au uovu dhidi ya nchi yetu umefanyika...
Back
Top Bottom