Wew ndo chaguo la mungu au mbona mnakufuru jaman wakati tunajua kila mtu ni chaguo la mungu ndo maana unaishi. Mi najua wengi amumtaki magufulu so kama aumtaki chance ni moja tu kajiandishe upige kura kwa kiongozi mwingine. Sio unapiga kelele afalu kujiandikisha na kwenda kupiga kura unaona...
Ni kwel asemayo bcoz hata ukiangalia wafungaji wa lig ya England na la liga ni tofaut bcoz wakat cristian yuko man united alikuwa hazid magol 36 kwa miaka yote aliyoitumikia timu hiyo but angalia kwanzia ametuwa la liga anafunga zaidi ya goli 45 na si ajabu so mi nadhan england kuna upizan...
Sahau kwa goalkeeper kuchukua tuzo coz huyo degea hata kweny kipa anayeongoza kwa clean sheets uingereza hayupo anaogoza foster sasa wew unataka kumlinganisha goalkeepers na kina kane, hazard, costa, sanchez acha kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.