J.P Magufuli sio chaguo la Mungu

J.P Magufuli sio chaguo la Mungu

Hata atakayetoka kwenye kundi la ukuawa uchwara atakuwa ni chaguo la wahuni wa bavicha
 
Magufuli aje kutuambia je, zina million 156 daily capacity charge wataendelea kulipwa DOWANS/RICHMOND?

Je, wakulima na masikini wa Tanzania watandelea kunyonywa kupitia mafuta taa bei juu?

Je, Magufuli atuambie zile Million 700 ni za nini?

je mfupa alioushindwa mkapa, yeye atauweza?

Je, Pombe magufuli,,,, utalinda wazee waliofilisi nchi na maakiba yao USWISS?

Je Magufuli... Pesa za USWISS utarudisha..

Je waziri Wa ujenzi utamteua nani?

Waziri wa fedha ni Saada Mkuya tena

Je magufuli, shillingi yetu vipi
 
Kwa sisi wakristo na waislamu tuliaminishwa na Mapadre,Wachungaji,Masheikh kwamba mtu fulani ndio chaguo la Mungu.

Kwa mantiki hiyo basi Dr John sio chaguo la Mungu.Je ni kitu gani kitatupata watanzania kwa kuwa na raisi ambae sie chaguo la Mungu?

Tujiulize na tujijibu wenyewe juu ya hili swala maana nahisi laana ya Mungu inatujia according to maneno ya Viongozi wetu wa dini kwa kukiuka mapenzi yake ya kuchagua mtu sie

Samahani mkuu ili liwe chaguo la Mungu ULITAKA UPATE ISHARA GANI ULIYOKUWA UMEAMBIWA NA VIONGOZI WAKO WA DINI? AU NI NANI AMBAYE WEWE NA VIONGOZI WAKEO WA DINI MLIAMBIWA NA MUNGU WENU ATAKUWA RAIS KISHA AKASHINDWA KUITIMIZA AHADI YAKE NISAIDIE MKUU MAANA MAMBO MENGINE MNAYOLETA HAPA YANATATANISHA NA UKIZINGATIA NJIA NA MAWAZO YA MUNGU SIYO ALIYO NAYO BINADAMU. AU KULIKUWA NA ISHARA YA MOSHI MWEUSI BADALA YA MOSHI MWEUPE?
 
Kwa sisi wakristo na waislamu tuliaminishwa na Mapadre,Wachungaji,Masheikh kwamba mtu fulani ndio chaguo la Mungu.

Kwa mantiki hiyo basi Dr John sio chaguo la Mungu.Je ni kitu gani kitatupata watanzania kwa kuwa na raisi ambae sie chaguo la Mungu?

Tujiulize na tujijibu wenyewe juu ya hili swala maana nahisi laana ya Mungu inatujia according to maneno ya Viongozi wetu wa dini kwa kukiuka mapenzi yake ya kuchagua mtu sie

Sio chaguo wa mungu wenu anayependa wizi na ubadhirifu kwakuwa ndio mungu wenu huyo
 
Huyu ss ndiye chaguo la Mungu haswa!! Maana alivyochomoka ni kwa mapenzi ya Allah
 
Hakuna chaguo la Mungu ndani ya CCM kwani kimetawaliwa na wanamfumo ambao ni Wezi,wauaji,Mafisadi na Wazinzi vitu ambavyo ni kinyume na Amri za Mungu

Huwa hatuna uwezo wa kulinganisha wakati uliopita na uliopo na ujao. Lazima ile kwetu bora kubadili mfumo na wengine watuongoze.
 
Hawa wachungaji wanapotosha watu coz 2005 walituaminisha hivyo but mambo yalipoaribika hawakurudi watuambie mungu kaenda likizo ama VIP labda wanamaanisha "mungu" sio"MUNGU"
 
Wew ndo chaguo la mungu au mbona mnakufuru jaman wakati tunajua kila mtu ni chaguo la mungu ndo maana unaishi. Mi najua wengi amumtaki magufulu so kama aumtaki chance ni moja tu kajiandishe upige kura kwa kiongozi mwingine. Sio unapiga kelele afalu kujiandikisha na kwenda kupiga kura unaona unapoteza muda, alafu akiwa rais mtaanza kulalamika eti sio chaguo la mungu
 
Kwa sisi wakristo na waislamu tuliaminishwa na Mapadre,Wachungaji,Masheikh kwamba mtu fulani ndio chaguo la Mungu.

Kwa mantiki hiyo basi Dr John sio chaguo la Mungu.Je ni kitu gani kitatupata watanzania kwa kuwa na raisi ambae sie chaguo la Mungu?

Tujiulize na tujijibu wenyewe juu ya hili swala maana nahisi laana ya Mungu inatujia according to maneno ya Viongozi wetu wa dini kwa kukiuka mapenzi yake ya kuchagua mtu sie

wewe ni hovyo zaidi ya hovyo kabisa,kwa nini?

1,kwanza haufai wewe unaendekeza udini kwenye siasa
2,zipi ni sababu za kusema Magufuli sio chaguo la Mungu?
3,je unajua kuwa kikwete yeye alipatikana kwa njia ya makundi na ni tofauti na MAGUFLI alivyopatikana?

laana unayoisema itakupata wewe ambaye unatenda zambi ya kusema sisi wakristo na waislamu ukimanisha watanzania wote kumbe ni unafiki wako na kujifanya unatusemea sisi,hovyo kabisa
 
wewe ni hovyo zaidi ya hovyo kabisa,kwa nini?

1,kwanza haufai wewe unaendekeza udini kwenye siasa
2,zipi ni sababu za kusema Magufuli sio chaguo la Mungu?
3,je unajua kuwa kikwete yeye alipatikana kwa njia ya makundi na ni tofauti na MAGUFLI alivyopatikana?

laana unayoisema itakupata wewe ambaye unatenda zambi ya kusema sisi wakristo na waislamu ukimanisha watanzania wote kumbe ni unafiki wako na kujifanya unatusemea sisi,hovyo kabisa
Mijitu mingine bana yani ww hata ukielimishwa hutaelewa nakuacha kama ulivyo maaana nmeandika kitu kirahisi halafu huelewi
 
Samahani mkuu ili liwe chaguo la Mungu ULITAKA UPATE ISHARA GANI ULIYOKUWA UMEAMBIWA NA VIONGOZI WAKO WA DINI? AU NI NANI AMBAYE WEWE NA VIONGOZI WAKEO WA DINI MLIAMBIWA NA MUNGU WENU ATAKUWA RAIS KISHA AKASHINDWA KUITIMIZA AHADI YAKE NISAIDIE MKUU MAANA MAMBO MENGINE MNAYOLETA HAPA YANATATANISHA NA UKIZINGATIA NJIA NA MAWAZO YA MUNGU SIYO ALIYO NAYO BINADAMU. AU KULIKUWA NA ISHARA YA MOSHI MWEUSI BADALA YA MOSHI MWEUPE?

mkuu huyu hana la kukujibu maana huyu anaonekana ni mtu wa udaku na anafikiri hili ni jukwaa la udaku,badara ya mambo ya msingi ,
 
Wew ndo chaguo la mungu au mbona mnakufuru jaman wakati tunajua kila mtu ni chaguo la mungu ndo maana unaishi. Mi najua wengi amumtaki magufulu so kama aumtaki chance ni moja tu kajiandishe upige kura kwa kiongozi mwingine. Sio unapiga kelele afalu kujiandikisha na kwenda kupiga kura unaona unapoteza muda, alafu akiwa rais mtaanza kulalamika eti sio chaguo la mungu
Hivi nyie ni watu gani msioelewa hata vitu virahisi kama hiki nilichoandika kwakwel mm nasikitika sana
 
Mijitu mingine bana yani ww hata ukielimishwa hutaelewa nakuacha kama ulivyo maaana nmeandika kitu kirahisi halafu huelewi

huna lolote ungekuwa na kitu cha maana cha kutujuza ungetwambia nani ulifikiri ni changuo la mungu ili tuchambue,
pili ungejibu maswali yangu ukieleza kilichokufanya usema kwanini sio chaguo la mungu,kama hauna basi uzi wako ni udaku tu.
 
Samahani mkuu ili liwe chaguo la Mungu ULITAKA UPATE ISHARA GANI ULIYOKUWA UMEAMBIWA NA VIONGOZI WAKO WA DINI? AU NI NANI AMBAYE WEWE NA VIONGOZI WAKEO WA DINI MLIAMBIWA NA MUNGU WENU ATAKUWA RAIS KISHA AKASHINDWA KUITIMIZA AHADI YAKE NISAIDIE MKUU MAANA MAMBO MENGINE MNAYOLETA HAPA YANATATANISHA NA UKIZINGATIA NJIA NA MAWAZO YA MUNGU SIYO ALIYO NAYO BINADAMU. AU KULIKUWA NA ISHARA YA MOSHI MWEUSI BADALA YA MOSHI MWEUPE?
Kama kitu hukielewi kaa kimya sio lazima ukoment ndugu
 
Ni kweli hakuwa chaguo la Mungu kwa walivyo tuaminisha watumishi wa Mungu na pia hakuwa cha chaguo la ccm ila imewabidi.
 
Hivi nyie ni watu gani msioelewa hata vitu virahisi kama hiki nilichoandika kwakwel mm nasikitika sana

waelewe nini wakati ulichokiandia ni unafiki mtupu,unafananisha alinvyopatikana kikwete na magufuli kwa vigezo vipi? ila tusikuraaumu pengine haya mambo kwako ndo unaanza kuyajua na pia haujituni kujua yaliyopita yalikuwaje,
 
Back
Top Bottom