Recent content by resonanceiduufu

  1. resonanceiduufu

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akubali ongezeko la asilimia 23.3 kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma

    Fomula ya kukokotoa asilimia 23 ya kima cha mshahara ipo hivi: Kima Cha chini Cha mshahara Tanzania ni 300000/= 23/100x300,000=69,000/= Hivyo 69000-18% ya makato yote utaona umeongezewa sh.ngapi? 18/100x69,000=12,420/= Sasa 69,000-12,420=56,580/= Hivyo basi nyongeza ya mashahara ni 56,580/= kwa...
  2. resonanceiduufu

    JamiiForums Tanzania Hakuna lisilowezekana ukiwa na mipango MADHUBUTI: Usingoje kuwa na kingi kama hicho kidogo huwezi kitumia vizuri!

    Habari ya wakati huu mdau wa JF?? *Sasa namiliki nyumba ya kisasa ndogo iliyonigharimu muda mrefu sana kufikia hatua hii ilipo na nimehamia nimeacha kuumia kila mara kwa kulipa kodi ktk nyumba ya kupanga, bado tu tiles kwa baadhi ya shm, finishing ya rangi nmeshaskim tayari, na aluminium...
  3. resonanceiduufu

    JamiiForums Tanzania MSAADA: Sheria inasemaje "Boss akikataa kuipitisha barua yako ili iendelee na mzunguko kuwafikia wahusika wenye majibu?"

    Hbr wadau wa JF? Boss wangu amekuwa na kawaida ya kuziblock barua za wafanyakazi zisiendelee na mzunguko kuwafikia wakubwa zake kwa sbb zake binafsi ambazo anazijua yeye! Nimeandika barua yangu iende kwa mkurugenzi wa kanda yangu ila barua yangu haijapitishwa na kila nikimwendea boss huyo...
  4. resonanceiduufu

    JamiiForums Tanzania Naomba Design nzuri ya kisasa au hata mgongo wa tembo kuezeka nyumba ya Floor Plan hii

    Baada ya kukosoa kosoa nimekuja na DESIGN hii sijui mnaionaje, kama iko poa nipe Yes niendelee na ujenzi na kama haiko sawa nipe NO, na plz uState nibadilishe wapi!! Nawasilisha!
  5. resonanceiduufu

    JamiiForums Tanzania Naomba Design nzuri ya kisasa au hata mgongo wa tembo kuezeka nyumba ya Floor Plan hii

    Nashukuru sana kwa mawazo yako mazuri
  6. resonanceiduufu

    JamiiForums Tanzania Naomba Design nzuri ya kisasa au hata mgongo wa tembo kuezeka nyumba ya Floor Plan hii

    Hizo veranda 2 ya nyuma na mbele ninaplan kumwaga zege juu sio kuezeka! Pia kama kuna makosa kuhusu mpangilio wa vyumba au choo, au jiko tafadhali toa ushauri wako! Foor Plan yake ni hii hapa chini:
  7. resonanceiduufu

    JamiiForums Tanzania Kupunguza gharama za ujenzi (blandering)

    Habari zenu wadau wa JF? Je, ninaweza kutumia nusu ya boriti ya 2x2 (kuikata katikati kwa urefu nakuwa 1x2) kwa ajili ya blandering? Au inaweza kuleta shida in-terms of strength ya kushikilia gypsum board? Msaada tafadhali!
  8. resonanceiduufu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi ya kumjua mwanaume mwenye pesa

    Au siyo
  9. resonanceiduufu

    JamiiForums Tanzania Bati ngapi na Mbao za kupaulia ngapi? Nyumba ya (7.3x8.8)m

    Kama nyie mnaotaka hela sana, mnakuaga na estimation za uwongo
  10. resonanceiduufu

    JamiiForums Tanzania Bati ngapi na Mbao za kupaulia ngapi? Nyumba ya (7.3x8.8)m

    Floor plan yake iko hv
  11. resonanceiduufu

    JamiiForums Tanzania Bati ngapi na Mbao za kupaulia ngapi? Nyumba ya (7.3x8.8)m

    Nina boma la nyumba ya ukubwa 64m², nmetumia tofali 1850 za block: Ina +Master bedroom (12x12)ft +Single room 1 (10x10)ft +Dining (10x12)ft + Sebule (19x12)ft +Public toilet 1 (4x6)ft Naomba kujuzwa ni bati ngapi zinaweza kutosha na mbao za kupaulia ngapi? NATAKA NIEZEKE KISASA! Nawasilisha!!
  12. resonanceiduufu

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali: Taa ya check engine haiwaki: Nissan Hard Body np300

    Mashine ni ANCEL X6/X7___ sina experience kubwa na Diagnosis ila nimenunua mashine hii ili kuwa nafanya kazi zinazojitokeza. Kuna baadhi ya vitu sijawahi kufanya kama hiyo injector registration
  13. resonanceiduufu

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali: Taa ya check engine haiwaki: Nissan Hard Body np300

    Naomba MSAADA: Baada ya kubadilisha injector nozzle zote engine imekosa nguvu, na bado check engine lamp HAIWAKI__ Nikitumia mashine ya Diagnosis (ANCEL) fault code P1922(switch on engine off) na P0089 (switch on engine on) zinatokea, nikiClear na kuscan tena inarudi P1922. TATIZO: $jui namna...
  14. resonanceiduufu

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu huu ‘Mkeka wa mbao’ (Floor Decor)

    Mwenye idea kuhusu "mkeka wa mbao" au "Floor decor" __ nimekuwa nikiona katika movies za nje (Ufilipino) na kwenye matangazo vifaa vya ujenzi hasa kenya. Uzuri? wake na Ubaya? wake__ nimekuwa nikiona matangazo wakisema warranty miaka 25! Vipi ubora wake unaweza kupiku tiles (vigae)? Nawasilisha!
Back
Top Bottom