In haramu kwa muislamu wa nchi yoyote kusherehekea Siku ya wapendanao, katika uislamu kuna sikukuu mbili tu IDD ya kula na IDD ya kuchinja. Uislamu ni mfumo kamili wa maisha ya mwanaadam, Haifai kwa muislamu kusherekea kitu cha kuzuliwa, kwan uislamu wenyewe umekamilika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.