nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Yalishawahi kusemwa haya lakini gwiji la upelelezi barani Afrika bwana Musiba limedai ya kwamba hawa jamaa ni mtu na kaka yake
Ikumbukwe kwamba gwiji hili linalojua kila kitu na lenye majibu ya kila kitu lilipiwa MAHARI na Rais kikwete wakati likimuoa mke wake aliyenaye sasa
Gwiji hili liliwahi kutuambia kwamba Lissu hakupigwa risasi bali zilikuwa ni blanks au blanko kama yeye anavyoziita
Ikumbukwe kwamba gwiji hili linalojua kila kitu na lenye majibu ya kila kitu lilipiwa MAHARI na Rais kikwete wakati likimuoa mke wake aliyenaye sasa
Gwiji hili liliwahi kutuambia kwamba Lissu hakupigwa risasi bali zilikuwa ni blanks au blanko kama yeye anavyoziita