bandugu, niliongea siku moja kuwa urafiki ni mbaya sana usipokuwa na kikomo, urafiki hadi kwenye usalama wa taifa, kuweka watu ambao wasio na elimu na uzoefu wa idara hiyo, sasa hilo ndio tatizo lake bwana. Sio idara hiyo tu, idara nyingi wamewekwa watu ambao hawafai kabisa na ndio wamechangia...