wakuu hamuijui hii kitu inaitwa seal team six nijuavyo mimi kwa historia tangu osama ameanza kuwa traced ikitokea tu imetangazwa kauawa inakuwa haipiti mwezi au miezi miwili babu anaruka hewani na video kwamba he is still alive lakini tangu mission ya abbortab imekamilika ni kiiiimya so...
mkuu mbona jamaa kaeleweka vizuri tu watu 23 wameshamuelewa wanajadili mada wewe ndugu yangu unakichwa kigumu kiasi gani kutoelewa tozo ya 12000 kwa current account ni kubwa? na imeongezeka kwa asilimia1200?
mkuu amini picha hii inafanana sana ile ya video iliyorushwa na ITV jana mimi nimekulia maeneo hayo nilithibitisha jana pale ni faya na mimi nilikuwa nakaa karibu na garage ya abood ivyo ndivyo ilivyokuwa amini mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.