Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
katika hali inayotafsiriwa kuwa chadema wamejipanga katika kuleta mabadiliko katika jimbo la arumeru mashariki,utekelezaji wa ahadi za mbunge mteule kutoka cdm bw. Joshua nassari umeanza rasmi hata kabla ya kuapishwa kwake.
Taarifa zilizonifikia kutoka kwa wakazi wa meru ni kuwa visima vya maji vimeanza kuchimbwa.
Nadhani nape nnauye anahitaji kupata taarifa hii kutokana na ushauri alioutoa kwa cdm.
Hongera josh nassari!
Taarifa zilizonifikia kutoka kwa wakazi wa meru ni kuwa visima vya maji vimeanza kuchimbwa.
Nadhani nape nnauye anahitaji kupata taarifa hii kutokana na ushauri alioutoa kwa cdm.
Hongera josh nassari!