Tunamshkuru mengi tumeyajua chini ya uongozi wake,tv ,nguo mpya za dukani,kuondoka kwa ugawaji ,rtc,nk. Nakushuhudia kuja kwa kina Mo ,Azania, Azam,nk amefanya aliofanya na amearibu alioaribu.namsifu tu kwa kuwalea watoto wake wasiwe malimbukeni na mafisadi kama wengine