Recent content by Renald

  1. R

    UKAWA wakubaliana kuwa na mgombea mmoja wa Urais

    Unamaanisha Watanzania?
  2. R

    UKAWA wakubaliana kuwa na mgombea mmoja wa Urais

    Why not Dr Slaa?,! Nina Imani kubwa kuwa anaweza
  3. R

    UKAWA wakubaliana kuwa na mgombea mmoja wa Urais

    Good choice, God bless them
  4. R

    Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA, Zitto Kabwe ahamia rasmi ACT Tanzania

    Zito ataikumbuka Chadema daima
  5. R

    Mhitimu wa chuo kikuu hawezi kuandika barua ya kazi

    Ili uitwe msomi ni lazima uwe na uwezo wa kuelewa mambo mengi zaidi ya yale unayofundishwa darasani, so si sahihi mhitimu wa chuo kikuu awe hajui kuandika barua ya kuomba kazi.
  6. R

    Weka na Ushinde na NMB

    Nimeipenda hii hongera NMB
  7. R

    Maskini Wambura...

    Somo kubwa sana
  8. R

    Mgomo wa walimu wakati shule zimefungwa

    Walimu safari hii tukubali liwalo na liwe kwani kuna habari za kuaminika walimu wakuu na wakuu wa shule wameitwa na maafisa elimu wilaya na kuwapa form ili walimu wajaze kama wanajihusisha na mgomo au la hii ni divide and rule walivyo baadhi yetu waoga basi utakuta wanajaza hizo form hebu...
  9. R

    Mjadala: Tatizo la kujieleza kwenye usaili wa kazi

    usaili unaweza ukawa sahihi kama wakizingatia taaluma ya m2 husika.mfano kama m2 ni mkandarasi apewe usaili kwenye mazingira yake ya kazi na apewe kaz ya kikandarasi
  10. R

    Mshahara

    Jamani naomba kuuliza, hivi ni kweli mshahara utaongezwa 40%? Na je, itaanza lini. Naomba mnaofaham mnifahamishe
Back
Top Bottom