R Renald Member Mar 1, 2011 27 0 Jun 29, 2011 #1 Jamani naomba kuuliza, hivi ni kweli mshahara utaongezwa 40%? Na je, itaanza lini. Naomba mnaofaham mnifahamishe
Jamani naomba kuuliza, hivi ni kweli mshahara utaongezwa 40%? Na je, itaanza lini. Naomba mnaofaham mnifahamishe
W WAMURUBHERE JF-Expert Member Apr 21, 2010 337 25 Jun 29, 2011 #2 kwani hujui mwaka wa fedha unaanza lini?
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,598 52,296 Jun 29, 2011 #5 June 2011 imelipwa, Tujulisheni kuhusu hiyo nyongeza kwani kwetu umeme haujulikani tena unawakaga saa ngapi ili uone radio au tv.
June 2011 imelipwa, Tujulisheni kuhusu hiyo nyongeza kwani kwetu umeme haujulikani tena unawakaga saa ngapi ili uone radio au tv.