Natanyahu aondoke atuachie nchi yetu. Wapendwa wetu bado wameshikiliwa ndani ya mahandaki kwa sababu yake. Shenzi kabisa. Waisrael hatujawahi kuishi kiunyonge kiasi hiki. Ole wake akatize kwenye anga zetu. Asisahau kilichomkuta Rabin 1995.
Loved it 💯. Huyo dada wa Kiha ana kiherehere. Mgeni kafika tu, kaisha dandia ndinga ya mgeni, na picha juu. Angekuja na Ferrari yake, angeondoka nae. At the same time, anajua kukaribisha wageni 👍
Yaani ile Airbus ya watu 600 l, halafu wote wawe ejected, mhh! Sio mchezo. Yaani ni kama kutengeneza ajali nyingine. Gharama sasa, nadhani ticket za ndege zitapanda maradufu. Binafsi sioni tuja ya hizo ejected seats kwenye commercial aircraft.
Syllabus za vyuo vya Tanzania sio mchezo. Ndio maana Wakenya wanatupiga darizi huko nje ya nchi inapokuja kwenye skilled labours.
Hasa hiyo Diploma in Sociology ndio usisubutu. Yaani hiyo utatembea na vyeti vyako mpaka Viatu vinaenda upande na kazi hupati, labda uwe na connection.
Safi sana mkuu. Hii ni hatari sana pale system inapotegemea ma superstar leaders kama Makonda badala ya kuwa na mfumo maalum wa uongozi. Hii ni sio hali nzuri kabisa.
Duh, Israel kashindwa kumpata mjerumani kulipiza kisasi cha Holocaust, kaamua kurudia yaleyale kwa wapalestina. Sio mchezo. History is doomed to repeat itself.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.