Tatizo pia walio wengi si waaminifu. Mwaweza kwenda kituo cha afya leo mkapima mkawa mko salama, kesho mmojawapo akachepuka. Inakuwa ni kazi bure. Uaminifu kwa mpenzi mmoja ni jambo la msingi.
Ndugu yangu aliwahi kulalamika mama Mkwe anaingia mpaka chumbani kwao kupiga stori na bintiye.
Mama anajifunga kanga anajipitisha hovyo hovyo. Hana chembe ya haya kuwa yule ni mume wa mwanae
Ndugu alipochoka akalianzisha valangati kawatolea mbovu mwanae na mama yake, na kushusha kipigo kwa...
Yup Kanda ya ziwa hasa wahaya. Hata kumwangalia mkweo anatembea ni mwiko. Ndo maana wahaya wale original kama ni mama kamwe hawezi kuishi kwa bintiye aliyeolewa except for very special circumstances
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.