Recent content by Regulator

  1. R

    MeTL wakanusha kukamatwa kwa sukari iliyofichwa

    Jamani industrial sugar au sukari nyeupe ni kwa matumizi ya viwandani tu na si kwa matumizi ya kawaida kama ya brown sugar. Lakini hawa MELT au MO jana mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kakuta wana blend sukari nyeupe na kuipaki kwenye mifuko ya kilo moja moja eti wanaongeza sweetener na kuiita...
  2. R

    Kikao cha Bunge ni kikao cha kazi sio Press Conference

    kuna siku wembe huo huo unaotumia kumkatia mwenzako utakuja kukukata na wewe mwenyewe so be very carefull my brother!! Ni vyema ukasimamia unachokiamini wewe binafsi kuwa ni kweli na si kwasababu kinafanywa na chama chako.
  3. R

    Suala la Kodi TRA: Magufuli, kwa mwenendo huu utashindwa tu

    Watu wenye akili na mitazamo kama huyu bwana ''fega fega'' huwa wananipa tabu sana kuwaelewa na kucomment mada zao. Hivi hili swali limekukwaza nini hasa mpaka ukaamua kuandika utumbo huo ndugu yangu? je umeona ukijibu kwa hekima sawa sawa na swali utapungukiwa nini? na je ungeamua kuacha tu...
  4. R

    Dr. Charles Mulokozi atiwa mbaroni kwa kutoa Vibali vya kusafirisha Tumbili 62 kwenda Albania

    Tatizo liko kwenye sheria zetu na mtandao wa ujangiri!! Mwisho wa siku utasikia sheria zinamruhusu kwa mtu aliyekidhi vigezo kusafilisha wanyama poli. Huyu mtu asingeweza kujiamini na kutoa vibali vya kusafirisha Tumbili hivi hivi kwa serikali hii ya magufuri lazima kuna kitu anajivunia, cha...
  5. R

    Leo ni uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar, wana UKAWA dua zetu ni muhimu

    Ila mjuwe dhuruma huangamizi Taifa! Tunapozidi kufanya dhuruma tunapanda na kuongeza viwango vya chuki mkiongoni mwa jamii ambapo mwisho wake kawaulize Rwanda, Burundi na wakenya
  6. R

    Ushauri kwa Rais Magufuli kuhusu vijembe/mipasho

    Hii ni inchi yetu sote na kama mtanzania mzalendo nampongeza rais wangu kwa hatua anazochukuwa na anazoendelea kuchukuwa mpaka sasa kwani taifa letu lilikuwa na hali mbaya sana in short tulikuwa ICU. Ila pale rais anapopotoka pia tunapaswa kusema bila kupepesa macho, hatupaswi kugawanywa kwa...
  7. R

    Zanzibar: Pemba hali ni tete, vurugu kati ya Polisi na raia

    mkuu hilo ndiyo na mimi ninaliogopa kwani kule wakienda ni hatari sana na ulimwengu wa ugaidi huu tulio nao
  8. R

    Masoud Kipanya atabiri hali mbaya kwa CHADEMA

    Mimi nakubaliana na kipanya kwa asilimia zote! Unajuwa agenda kubwa ya upinzani iliyowafanya wakubalike kwa watanzania walio wengi hasa vijana ni Rushwa, Ufisadi na matumizi mabaya ya mali za umma. Sasa tangu Lowasa aingie upinzani hoja ya upinzani iligeuka gafla ikawa ndiyo hoja ya Dr John...
  9. R

    Rais Magufuli muogope Mungu na tenda haki! Iogope siku ya hukumu

    Huwezi fanya jambo ukawalizisha watu wote wapo tu ambao watakupinga tena bila sababu ya msingi!! Tuweke itikadi zetu pembeni ndugu zangu inchi hii ilikuwa imeoza inanuka mwache kwanza Pombe atengeneze inchi tukae sawa. Najuwa mkwere aliwapa nafasi nyingi sana mkazitumia mnavyotaka kiasi kwamba...
  10. R

    Vurugu za Umeya Dar: Polisi wazingira nyumba ya Halima Mdee kumkamata. Ajisalimisha!

    Hivi democrasia tunayohubiri iko wapi Tanzania? Hii haikubaliki hata kidogo kila siku tunawashambulia sana Mseveni na Nkuruzinza kwa kupana demokrasia wakati hata huku kwetu hakuna demokrasia hata kidogo. yaani meya tu wa jiji anatupashida hivi ungekuwa urais ingekuwaje? There is no democracy in...
  11. R

    Bei ya sukari yapaa

    Ngoja niweke sawa kwani huyu aliepost haijuwi hii industry vizuri 50KG YA SUKARI= 93,000-94,000 Kwa bei za jana na 25KG ilikuwa 46,000-48,000 na 1k ilikuwa 2000-2200 kwa Dar es salaam. Mahitaji ya sukari kwa matumizi ya viwanda na brown sugar for domestic use jumla ni Tonne 590,000. Viwanda...
  12. R

    TCRA yaifungia video ya "Zigo" wa AY na Diamond

    Binafsi naunga mkono kufungiwa kwa huu wimbo!! Jamani tuwe wakweli yaani kuna nyimbo ikiimbwa uko wa binti yako sebuleni na mama yako mzazi au mama mkwe unatamani upasue Screen kwani nyimbo nyingine ni aibu sana. Kwa utamaduni wa kitanzania bado hatuja fika huko ndugu zangu kwa inchi za...
  13. R

    Uingizwaji wa bidhaa feki na madhara yake kwa Tanzania

    Uingizwaji wa bidhaa feki inchini Tanzania inabidi litangazwe kama janga la kitaifa na linahitaji juhudi za kimakusudi kukabiliana nalo. Ebu angalia jinsi TFDA na TBS wanavyoteketeza bidhaa feki au zilizoisha mda wake wa matumizi. Swala la kujiuliza hizi bidhaa feki zinapitia bandari gani? na je...
  14. R

    Zitto Kabwe: Rais wanaokusifia tu hawakusaidii

    Nakushukuru Zito kabwe kwa kuanzisha uzi huu! binafsi nilishauweka facebook ila response yake ilikuwa ni kukosolewa na kutukanwa kumbe mimi ndiyo mwenye mapenzi mema na inchi kuliko hao wanaomsifia tu kwa kila jambo. Tatizo letu Tanzania hatuna ajenda ya kitaifa kila jambo limeegemea kwenye...
  15. R

    Dkt. Dau afitinishwa na JPM

    Haya magazeti ya kufungia maandazi yanapaswa kufutwa kabisa na siyo kuyafungia! Watu wenye mitazamo ya kidini kwenye mambo yanayomhusu mama Tanzania hawapaswi kufumbiwa macho. Ni mapema sana kuanza kuingiza propaganda za kidini kwenye serikali ya Dr John Pombe Magufuli. Muwe na kumbu kumbu...
Back
Top Bottom