Hahahaaaaaaa.....ni kweli chuo kipo kisiasa zaidi lakini nasikitika sana mnapoanza kudharau hadi wanafunzi wasio na makosa....Mie ni muhitimu na najivunia kuhitimu Udom tena kwa ufaulu mzuri sana so nyie endeleni kubeza wenzenu tunakula mishahara minono inayotokana na Udom, tena pengine hata...
Acha kututania hapa...ww una uhakika gani kua hiyo mimba ni ya kwako??? Yeye anaishi na mumewe na kwako anakuja mara 1 1 tu kwa kujiibiza so possibility ni ndogo sana ya kua ww ndo msababishi wa mimba...
Naona unatania weye......na hukijui kiswahili vizuri ndo mana unaona kama ni lugha rahisi tu na bado haina uwezo wa kutumika hadi elimu ya juu lbda km hujawahi kufika huko ndo mana ukaona ni rahisi tu mkuu.....
Ualimu kwa sasa hawezi akachukua kabisaaa kwa ufaulu huo tena haijalishi ni private au government mana sheria zinazowaongoza ni sawa ualimu kwa sasa ni kua mwombaji awe amepata kuanzia daraja la 1 hadi 3 kwa diploma of primary education tu na sivinginevyo aisee...so ajaribu kwenye fani zingine tu...
Igome tuu mana nao wamezidi kwa viherehere vyaoo vya kuiga kila kitu mana mwanzon walituambia eti hawatatumia chopa mana wapiga kura wapo chini na si angani xx leo wanazitumia na zinawagomea....
Ama kweli mbinu zimewaishia xx swala la ugonjwa wa mtu na sera vina uhusiano gani?? Mwenzenu nae katumia fursa hiyo kujinadi kwa kupiga push up.....Hatima ya maisha ya mtu anaijua mwenyezi Mungu peke yake...Hata huyo mnaemuona ni mzma kwa akili zenu fupi Mungu anaweza akamchukua muda wowote.....
Xx hii kazi ya kubeba watu kila kona na kuanza kujisififia ina maana gn tena jamn? Ama kweli CCM hoi wanajitekenya afu wanacheka wenyeweeee.............
Hivi kila linalotokea mbona linahusishwa na siasa wakat mengine hayana hata uhusiano kabixaaaa?????? Suala la ajali na vifo vya wapendwa wetu hebu tuliweke kando kidogo na siasa jaman....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.