T
Tayari mbowe amechelewa, hiki chama tulikiamini kwa sababu ya watu makini kama Dr slaa, Chama ni kama dini kuna watu lazima tuwaamini ili tuwe wafuasi wao,
Mbowe alituambia lowasa ni zezeta, Mwizi, fisadi, ahaminiki, ghafla anatuambia ni mtakatifu, anafaa kupewa hazina ya nchi ailinde...