Kama Mnyika au mbunge yeyote mwingine anataka kuondoka CHADEMA mwacheni aondoke

Ni kujidanganya tu.CHADEMA kilipotoka sana issue ya kumtosa Slaa na kumkumbatia Lowassa. Gharama yake ni kuwa hakitakaa kishike madaraka,tunahitaji chama mbadala,potelea pote! Halafu mbaya zaidi ni pale eti katibu mkuu ni Dr. Mashinji!!!
Tukimpoteza Mnyika,tujue Wenje,Nyerere Vincent et al wataondoka! Values ni mhimu na lazima Mbowe ajue.
 
Kulikuwa na njama nyingi za kummaliza mnyika kisiasa....kama watafanikiwa basi nae mnyika atskuea amejiendekeza...
 
Kama snaenda
Milango iko wazi
Chadema ni taasisi na sio mtu mmoja
Hatuwezi kuwa na chama chenye kutegemea watu fulani ingawa n muhimu kuwa na watu hao ila si bora kuliko chama
Chama hakiwezi kuhama mtu anaweza kuhama

Ni kweli lakini naomba chukua dakika moja kuifikiria NCCR-MAGEUZI
 
Wanaoweza kuitetea chadema hii ni wale ambao wanapata mkate kupitia chama. Otherwise ni dhahiri tumeparanganyika kuliko wakati wowote na hili hata lifunikwe vipi litajionesha tu. Naona matusi yanahamia kwa Mnyika sasa.
 
Kwa mtazamo wangu kama ungekuwa ni uzushi angeshajitokeza na kujibu lkn kuna usemi wa "silence means yes".
 
Kama ni yeye aende tu.Mtu unakaje kimya kiasi hiki huku uvumi kila siku unashika kasi?Anashindwa nini kujibu?Inaboa!
Afisa habari wachama si kashamaliza...!? Au wewe umuamini afisa habari 'wetu' wa chama? Na toka afisa habari akanushe...Umemsikia Mh. Nyika akikanusha kama Dr Willbrod alivyokanusha kwa Yericko? Au na wewe unalako jambo?
 
Mnyika naye kawaje jamani? Mwanzo walisema kawa chizi wala hakujibu saa hizi wanasema anataka kuhama chama pia kawa kimya nini kinamsibu?
 
Haiwezekani chama kilichokuwa na Sera ya kupigana vita dhidi ya ufisadi kikamkumbatia fisadi papa kikawaweka kando wapambanaji wake alafu kibaki salama,
Hakika nawaambia hakuna kosa kubwa CDM kiliwai kufanya kama kumuacha kando Dr.slaa ona sasa chama hakina Sera wala dira kimebaki kuwa chama cha matukio na tutarajie kuona laana nyingi zikikiandama CDM.
 
Kama snaenda
Milango iko wazi
Chadema ni taasisi na sio mtu mmoja
Hatuwezi kuwa na chama chenye kutegemea watu fulani ingawa n muhimu kuwa na watu hao ila si bora kuliko chama
Chama hakiwezi kuhama mtu anaweza kuhama
Chadema ni tahasisi? Au hujui maana ya tahasisi! Chadema ya Dr slaa ndo ilikuwa tahasisi kila maamuzi yalipotishwa na vikao, na akina Mnyika wanaojitambua ni vigumu kubaki kwenye saccos. Chama kinaendeshwa na mbowe na mkwewe basi. Angalia ujio wa fisadi Lowasa, angalia katibu mkuu wenu, angalia operations za chama kama bado zipo! Hata gari moja lilioandikwa M4C kama utalipata! Angalia zone 9 zilizotengwa nchi zima zipo? Hata ofisi hakuna. Ni suala la muda subiri usingizi utakwishia
 
Unajidanganya. Kwa sasa Chadema ni poyoyo tu; ni UKAWA inayowasaidia kwa sasa ingawa nayo will soon disintegrate.
Watu tuko tayari hata kupigia jiwe kura kuliko mtu wa chama chenu hivyo hata aondoke nani hamuwezi kutudhoofisha.Tumewachoka kuliko kitu chochote katika hii dunia.
 
Wewe unayasema hayo kama nani kumuamuru Mnyika aondoke, kwani kila upuuzi kutoka nje lazima ujibiwe?? hata kukaa kimya ni jibu pia
 
Back
Top Bottom