umenikumbusha niliish nyumba moja hiv yan uko juu ya bati ikifika mchana utasema wanapalilia ubwabwa ikafika kipind nalala na dripu bila vile nazan nisinge toboa yan na ukoboko wangu nilianza kubanduka magamba
hongera kwa wabunifu😅😅
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.