Kumfikisha mwanamke kileleni (Orgasm)

Kumfikisha mwanamke kileleni (Orgasm)

Scientists prove it kumfikisha mwanamke orgasm copulation at list 25mn sasa mzee kugusa tuuu.......
Ndio maana mnakufaga mapema dk25 unafanya nini? Nikuambie tu unaweza oiga mechi hadi 45 ukaahirisha ukajipumzisha kidogo ukaanza tena 30mn again kama haku-feel atakuektia ila umwache apumzike. Mwanamke kuridhika comes from mental state sio friction ha muda mrefu
 
Mwanamke anayekupenda ukigusa tu tayari, hutumii nguvu, unaweza hata kugusa ile sehemu juu ya nguo na akakojoa (nazungumzia anayekupenda haswaa)

Mke mkishazoeana sometimes mnakaa wiki+
Vijana wadogo hawaezi elewa..kufika kilele kwa mwanamke mpaka awe na hisia na wewe tofauti na hapo unaweza twanga siku nzima na hawezi fika kibo mawezi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hivi kwann wanaume mnawaza sana jinsi ya kuwaridhisha wanawake? Na kuwapa hela,?
Wao mbona hawaanzishi uzi wa jinsi ya kumridhisha mwanaume?
Yani hela unatoa na huduma unatoa na kitandan unajikaza, wao ni kupokea kupokea kupokea
Inafikirisha
 
Sometimes ni kujitaftia stress tu, anza kwanza wewe unaridhika na show unayopiga??
Nyote mridhike, usijekua kama wale wapaka mkongo yeye haridhiki ila mwanamke anaridhika. Sasa raha ya sex hapo iko wapi!!

Jitu masaa halitoi wazungu, halihisi chochote kisa mkongo ili amridhishe manzi...
Je wewe unaridhika, anza na wewe kwanza ndo utafute njia za kumfikisha na mwenzio aridhike.
 
Kwanza umeshapata mke, uliyekuwa unamtafuta? Dunia ya sasa wengi wanaishi kwa kufake. Somo refu hili, pata mke kwanza utajionea huko...
Bado ndo tuko kwenye process so lazima tujue tunapigaje mbungi ndani wasije wakatusaidia wakurungwa
 
Mwanaume lazima uwaze namna ya kurudisha umpendae maana kama hautamfikisha mwenza wako basi jiandae kusaidiwa na wenye muda wa kumfikisha hilo ni jukumu la mwanaume kumfikisha mpenzi wake
Mkuu, wewe bado ni chalii sana. Huwajui wanawake wewe. Utakuja kulia kilio cha mbwa koko siku moja
 
Ndio mana ni kawaida sana kuona mwanamke ana ishi na mwanaume anayemuhudumia kila kitu na akachepuka na shamba boi..kwa mwanamke suala la organism hisia ndio mlango wao..tofauti na hapo wewe kunywa mchuzi wa pweza..paka mundende twanga utwangavyo atakua anakukodolea mimacho tu..akiona namnagani vipi anafake tu ili ujione kidume..

#MaendeleoHayanaChama
 
Ukiichumoa dushe alafu ukamuona ghafla amekazana kuiwahi na kuichomeka tena ujue hapo ndio anaelekea Mount Kibo, mpekee moto

Chubwa chubwa chubwa chubwi chubwi
Chwa chwa chwa chwa chwa
Chubwa chubwa chubwa
Ukiichumoa dushe alafu ukamuona ghafla amekazana kuiwahi na kuichomeka tena ujue hapo ndio anaelekea Mount Kibo, mpekee moto

Chubwa chubwa chubwa chubwi chubwi
Chwa chwa chwa chwa chwa
Chubwa chubwa chubwa
Ukiichumoa dushe alafu ukamuona ghafla amekazana kuiwahi na kuichomeka tena ujue hapo ndio anaelekea Mount Kibo, mpekee moto

Chubwa chubwa chubwa chubwi chubwi
Chwa chwa chwa chwa chwa
Chubwa chubwa chubwa
😳 ilo ni bwawa aisee mbususu og ni saut za mfyotofyoto
 
Ndio mana ni kawaida sana kuona mwanamke ana ishi na mwanaume anayemuhudumia kila kitu na akachepuka na shamba boi..kwa mwanamke suala la organism hisia ndio mlango wao..tofauti na hapo wewe kunywa mchuzi wa pweza..paka mundende twanga utwangavyo atakua anakukodolea mimacho tu..akiona namnagani vipi anafake tu ili ujione kidume..

#MaendeleoHayanaChama
Kunywa mchuzi wa pweza, kupaka mundende sidhani kama kunakufanya mwanamke uweze kumridhisha tatizo wanaume wengi mnakurupuka mkianza sex wengi wanakurupuka then 3mn wazungu haoooooo
 
Mwanaume lazima uwaze namna ya kurudisha umpendae maana kama hautamfikisha mwenza wako basi jiandae kusaidiwa na wenye muda wa kumfikisha hilo ni jukumu la mwanaume kumfikisha mpenzi wake
Nonsense
 
Back
Top Bottom