Labda niseme tu kwamba,ni wazi kwamba watanzania wanahitaji mabadiliko,na Chadema kikubwa kilichfanya mpaka sasa, ni kuonyesha au kudhihilisha mabaya ya selikali ya CCM ,naipongeza sana kwa hilo,kwa maana hii ni hatua ya mwanzo. Kama Chadema kweli ni Chama cha kuiongoza, au kuikomboa Tanzania...