wanatoa cheti mbadala.. ni laki moja baada ya kutoa report polisi then unatangaza kwenye gazeti la serikali then unaenda na hzo document necta... baada ya hapo unasubilia kutengenezewa cheti mbadala.... m nlisubiria kama miezi kumi hivi ndo kilitoka.....
hii kwa wahaya tunaita akachumita mbogo unachanganya na maziwa... au enzitioma unachanganya na maziwa au mashika nguo unachanganya na enzitoima na kachumita mbogo unachemsha......... maelezo zaidi nipm
mimi naomba kujua taasisi zinazotoa misaada ya kujenga misikiti vijijini...... Vile vile naomba kujua taasisi zinazotoa ufadhili wa kuwalipa mshahara walimu wa madrasa... Maana kijijini kwetu elimu ya dini na sehemu ya kufanyia ibada ni mtihani shekhe wangu...
Miradi yake ni kufanya matengenezo na ukarabati wa barabara kwa kutumia technolijia stahiki ya nguvu kazi...
kazi zake huwa ni za tanroads,tarura, na halmashauri
tenda zake huwa zinarange kwenye milioni 20 mpaka 50
Kwa anayehitaji mtaalamu mwenye cheti cha labour base anicheki nipo hapa..
mimi mwenyewe nina tatizo hilo kwa sasa linanisumbua... mi ni muda wote ni meupe yana mapovu kama ya nyoka.... natumia dawa sa vidonda vya tumbo lakin wapi.... nakunywa maji mengi lakini no solution
mwenye solution please anisaidie...
Habari,
Nipo Mbeya,
Natafuta route nzuri ya kwenda bukoba. Usafiri ni magari ya Abiria.
Wakati nakuja nlichukua route ya bukoba to dodoma to iringa to mbeya, ila n ndefu kinoma nlifika niko exhausted. Vile vile tulipofika pale Dodoma magari ya mbeya hayakuwa reliable so tulifaulishwa. Ilikuwa...
vile vile kuna free book promotion... halafu kuna website za kufanya free book promotion... vile kuna SEO.. Na kuhakikisha unachapisha vitabu vya kutosha
Grey account, payooneer, wise etc zitamfaa... utachagua us bank account ambayo itakuwa virtual account.... so hyo ndo utakuwa unaitumia kudraw pesa zako then zikishaingia huko utakuwa unazitoa unaziweka kwenye bank account yako.
Altenatively, unaweza chagua option ya kuwa unatumiwa cheque
achana na voda,tigo think off kufanya kazi na makampuni ya marekani ukiwa tanzania yaan remotely. what is needed is skills. mfano nakupa pa kuanzia gonga hii coz by the tme unamaliza utakuwa ushapata connection kibao https://www.coursera.org/professional-certificates/google-it-support
usisahau...
mkuu kama umesoma telecom najua utakuwa uko vizur kwenye programming, engineering mathematics etc. nakushauri tafuta kazi za remote ufanye kama data analyst, automation engineer, data scientist etc, hata kama hauna huo ujuzi nakushaui utenge miezi kadhaa ya kujionoa na kung,arisha ujuzi wako you...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.