juliusJr
Senior Member
- Jul 14, 2016
- 180
- 61
Habari wanazengo mmeamkaje
Kijana wenu nimepata changamoto kidogo nimepoteza bahasha yangu yenye vyeti vyangu na kiukweli sijui nime misplace wapi bahasha ilikua na cheti cha form original ila nina result slip yake na cheti cha form six original na chet cha kuzaliwa original cha kuzaliwa sio issue sana maana naweza fatilia Rita nikapata napenda kujua hivyo vyeti viwili navipataje na je NECTA wana utaratibu wakutoa vyeti vingine wana jamavi na je kama kuna utaratibu naanzia wapi nikipata loss report kutoka polisi naombeni msaada wenu maana kuna mahala nafatilia kazi na wanahitaji izo documents
Kijana wenu nimepata changamoto kidogo nimepoteza bahasha yangu yenye vyeti vyangu na kiukweli sijui nime misplace wapi bahasha ilikua na cheti cha form original ila nina result slip yake na cheti cha form six original na chet cha kuzaliwa original cha kuzaliwa sio issue sana maana naweza fatilia Rita nikapata napenda kujua hivyo vyeti viwili navipataje na je NECTA wana utaratibu wakutoa vyeti vingine wana jamavi na je kama kuna utaratibu naanzia wapi nikipata loss report kutoka polisi naombeni msaada wenu maana kuna mahala nafatilia kazi na wanahitaji izo documents