Recent content by Rebeca 83

  1. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Duh, Pole sana mkuu... Ukipona please hakikisha hili swala halijirudii...
  2. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Angekuwepo hayati JPM asingeruhusu waziri wake aaende Bungeni na mkoba wa mil 14 hata kama ni mkwe wake

    Wewe zunguluka tu.. Maisha ya watanzania yako poor... Every cent counts.. Mngekuwa na hii mindset tungefika mbali.. Ila nyie ni kufisadi tu Of course kama umefisadi mamilioni utaona kutumia million 14 is nothing.. Again kwa nchi ambayo resources bado ziko scant kutumia million 14 kwenye...
  3. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Nimeamua kukata tamaa na tatizo langu la kukosa choo

    Duh Pole sana mkuu ... Constipation inatesa sana.. Ukipata solution ya tatizo lako hakikisha haijirudii...
  4. Rebeca 83

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unakutana na ugumu kuanzisha mahusiano kwa sababu hauna hela au status?

    Kwa hio? Wewe ndio judge?
  5. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Angekuwepo hayati JPM asingeruhusu waziri wake aaende Bungeni na mkoba wa mil 14 hata kama ni mkwe wake

    Hautatui shida za wananchi una uhakika??? Unajua watanzania majority wanaishi na £$2.15 per day??? Wangapi wanakosa hata milo mitatu kwa siku ?? Unajua hizo million 14 zingelisha familia ngapi??..misuse of government funds halafu kuna majinga kama wewe yanatetea kisa yananeemeka na mfumo!
  6. Rebeca 83

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unakutana na ugumu kuanzisha mahusiano kwa sababu hauna hela au status?

    Hahaaaa... Hata ushauri wapigane vipi maishani.. Sio wote watamiliki magari, nyumba na kazi nzuri.. Usiwape matumaini " hewa" wenzio waendelee " kusubiri" mpaka uzeeni..wabaki senior bachelors 😆 ku fight utafight mpk lini, with most Tanzanians living in extreme poverty line...kusubiri magari...
  7. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Taifa la Fremu, Boda na Bajaji , Je, Hii ndiyo Ndoto ya Kijana wa Kitanzania?

    Mama kafungua njia za fursa ..ajira nje nje..I don't know what the Fukc does that supposed to mean!
  8. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Lililotokea halikuwa jema kwa yeyote lakini walivyokamatwa kama mama nikasema waachieni. Yaliyotokea yametia doa kwenye Taifa letu

    There are more than 60 millions people in Tanzania, I don't know 70...kwani lazima iwe wewe ndio ushikilie kiti?....wewe uuwe , wewe uwaonee huruma wafungwa, wewe uteke....mama gives us a break!
  9. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Mwanamke Mjini: Kujitegemea Bila Connection. Ni Kweli au Ndoto Tu?

    Survival my dear.. Utakaaje bila connection wakati kuna intermediate needs hujazi meet? Lol i think men are more likely to be employed once graduation compared to women 🙄 😒 bado watu wanafikiri women 's place Is home; cooking, look after the family. Kwa hiyo wanadisciriminate job...
  10. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna faida gani kuzaa watoto hapa duniani? Mimi naona hakuna faida, ni kuletana kwenye shida na matatizo, pia kujiongezea majukumu tu

    Kwendaaa, nimetumia haki yangu kujibu nachojua, unaniambia nikae kimya kama nani?
  11. Rebeca 83

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa kimaisha kabla ya kuoa kuna uwezekano mkubwa ukaoa mwanamke asiye na mapenzi nawe

    If at this time and age you don't know what men/women are hoping to gain in a relationship then siwezi KUKUSAIDIA.. Hopeless!
  12. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Viwanja Viwili Vinauzwa Kibaha Maili Moja

    😆😆😆😆😆😆
  13. Rebeca 83

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa kimaisha kabla ya kuoa kuna uwezekano mkubwa ukaoa mwanamke asiye na mapenzi nawe

    Hahaaaaa nyie endeleeni kuishi katika bubbles zenu, kila mtu anaangalia what he/she has to gain in a relationship, the theory men love and women don't.. ni theory mliyojaza nyie wenye vichwa vilivyojaa kamasi eti mwanaume anapenda spontaneously mwanamke bila kuangalia attributes zake....thubutuu
Back
Top Bottom