Recent content by Rebeca 83

  1. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kihongosi: Damu ya Watanzania haipo mikononi mwetu CCM, chama hakikuchukua silaha kumdhuru yeyote, Oktoba 29, 2025

    Mnhh ccm yote majinga! Huyu hajui hata serikali anayoitumikia ni ya chama gani...stupid!
  2. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu wa kike anataka nimuoe, je tutakua tumefanya maamuzi sahihi?

    Unaweza kuwa na advantage ni rafiki yako uko huru hata kumwambia lolote na yeye hivyo hivyo yuko huru zaidi kwako...mko close na mna chemistry hii inaweza kuwa positive ila binafsi nadhani kama hamkutamaniana kimahusiano punde mlivyokutana sidhani kama mtaweza kutamaniana sasa hivi....mkiingia...
  3. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Mchina Zheng Xiangming ateuliwa kuwa Chifu nchini Ghana wa kutoa fursa za ajira

    Hongera zake.. It's good to be appreciated kwa jamii inqyokuzunguka especially kama una impact positively...
  4. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Hamisa Mobetto: Sihitaji huruma ila Juma Lokole na Maimartha wananibully mtandaoni

    Pole sana Hamisa.. Hao wajinga siku moja watapata dawa yao.. Hilo lijuma lokole limekuwa lisadist baada ya kuwa gay kwenye gay-hostile society.. Jinsi anavyokuwa rejected ndivyo anavyoona na wenzie wawe hivyo hivyo.. Mimi naomba serikali ichunguze content zake ...sababu hata wema sepetu...
  5. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania A weak leader becomes a prisoner of approval

    🤣🤣🤣🤣 "pamoja" kwa kingereza, msaada kwenye tuta 🤣🤣
  6. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Imagine Waziri wa Mambo ya Ndani anaitisha Press kujadili kalio la Pipy Tida, na vichambo vya Anko T!

    Huyo Katambi kila siku yuko live kwenye TV.. Kama sio attention seeker ama kutafuta cheap popularity.. Tabia ya incompetent leader.. Kama unatafuta kuwa noticed Kstambi,Pole sana..RAIS anaku notice kwenye maujinga maujinga soon utalimwa Kama ana akili..manake kuita press conference wasanii...
  7. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Responded Rais Samia: Dar es Salaam ni kuchafu, ni aibu

    Chalamila ulikua mbio kuongeza hofu kwenye maandamano..soon mama atakufikia
  8. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kwa CHADEMA kumfanya Sugu kuwa Mwenyekiti wa Kanda?

    Umemsahau Samia wako na elimu yake?!
  9. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Kigogo anasema Ile nafasi ya umakamu ilikuwa iende Kwa Riz One

    Huyo yuko kivuli tu. Vice President behind ni Abdul wa Mama Samia. Kama kunaendelea utekaji, hamjiulizi serikali inaendeshwa na nani?,
  10. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Majeshi, Mkunda: Ugaidi kwa Tanzania mpaka sasa hali ni shwari

    Nyinyi police ni wasaliti. Sijui mnapewa nini na huyo mpuuzi wenu kukaa mbele kwenye TV kama vikatuni na kuongea huu upumbavu. Siku itakuja in your dying bed mtakumbuka huu usaliti mliowafanyia watanzania.
  11. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Kuna ma-ex wengine ni kama wachawi

    Unamkumbuka kwa mabaya, unawish apate kifafa!
  12. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Kudumisha mahusiano na mwanamke asie na hela ni gharama zaidi ya kununua

    Wrong type of women???ndio wapi hao?! Iweje wanaume wote mnafall to wrong type of women?! Huko insta pages ni percentage gani ya wanawake wanapita hizo page per population? Mpaka useme hili ni tatizo???...
  13. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Kudumisha mahusiano na mwanamke asie na hela ni gharama zaidi ya kununua

    Mpaka pale gap kati ya wanaume na wanawake katika education and employment opportunities litakapofungwa ndio mtaanza kuona wanawake wasio tegemezi( slowly tunaelekea huko). By the way hili la mwanaume ku provide limekuwa kama trait. Zamani males walikuwa aggressive kuonyesha dominance ili...
  14. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    WEWE umemla nani kati ya hao?! Kujifanya expert kumbe bikira la kiume!!!!!
Back
Top Bottom