Unaweza kuwa na advantage ni rafiki yako uko huru hata kumwambia lolote na yeye hivyo hivyo yuko huru zaidi kwako...mko close na mna chemistry hii inaweza kuwa positive ila binafsi nadhani kama hamkutamaniana kimahusiano punde mlivyokutana sidhani kama mtaweza kutamaniana sasa hivi....mkiingia...
Pole sana Hamisa..
Hao wajinga siku moja watapata dawa yao..
Hilo lijuma lokole limekuwa lisadist baada ya kuwa gay kwenye gay-hostile society..
Jinsi anavyokuwa rejected ndivyo anavyoona na wenzie wawe hivyo hivyo..
Mimi naomba serikali ichunguze content zake ...sababu hata wema sepetu...
Huyo Katambi kila siku yuko live kwenye TV..
Kama sio attention seeker ama kutafuta cheap popularity..
Tabia ya incompetent leader..
Kama unatafuta kuwa noticed Kstambi,Pole sana..RAIS anaku notice kwenye maujinga maujinga soon utalimwa Kama ana akili..manake kuita press conference wasanii...
Nyinyi police ni wasaliti. Sijui mnapewa nini na huyo mpuuzi wenu kukaa mbele kwenye TV kama vikatuni na kuongea huu upumbavu. Siku itakuja in your dying bed mtakumbuka huu usaliti mliowafanyia watanzania.
Wrong type of women???ndio wapi hao?! Iweje wanaume wote mnafall to wrong type of women?!
Huko insta pages ni percentage gani ya wanawake wanapita hizo page per population? Mpaka useme hili ni tatizo???...
Mpaka pale gap kati ya wanaume na wanawake katika education and employment opportunities litakapofungwa ndio mtaanza kuona wanawake wasio tegemezi( slowly tunaelekea huko). By the way hili la mwanaume ku provide limekuwa kama trait. Zamani males walikuwa aggressive kuonyesha dominance ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.