Wewe zunguluka tu..
Maisha ya watanzania yako poor...
Every cent counts..
Mngekuwa na hii mindset tungefika mbali..
Ila nyie ni kufisadi tu
Of course kama umefisadi mamilioni utaona kutumia million 14 is nothing..
Again kwa nchi ambayo resources bado ziko scant kutumia million 14 kwenye...
Hautatui shida za wananchi una uhakika??? Unajua watanzania majority wanaishi na £$2.15 per day??? Wangapi wanakosa hata milo mitatu kwa siku ?? Unajua hizo million 14 zingelisha familia ngapi??..misuse of government funds halafu kuna majinga kama wewe yanatetea kisa yananeemeka na mfumo!
Hahaaaa...
Hata ushauri wapigane vipi maishani..
Sio wote watamiliki magari, nyumba na kazi nzuri..
Usiwape matumaini " hewa" wenzio waendelee " kusubiri" mpaka uzeeni..wabaki senior bachelors 😆 ku fight utafight mpk lini, with most Tanzanians living in extreme poverty line...kusubiri magari...
There are more than 60 millions people in Tanzania, I don't know 70...kwani lazima iwe wewe ndio ushikilie kiti?....wewe uuwe , wewe uwaonee huruma wafungwa, wewe uteke....mama gives us a break!
Survival my dear..
Utakaaje bila connection wakati kuna intermediate needs hujazi meet? Lol
i think men are more likely to be employed once graduation compared to women 🙄 😒 bado watu wanafikiri women 's place Is home; cooking, look after the family. Kwa hiyo wanadisciriminate job...
Hahaaaaa nyie endeleeni kuishi katika bubbles zenu, kila mtu anaangalia what he/she has to gain in a relationship, the theory men love and women don't.. ni theory mliyojaza nyie wenye vichwa vilivyojaa kamasi eti mwanaume anapenda spontaneously mwanamke bila kuangalia attributes zake....thubutuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.