Recent content by Rebeca 83

  1. Rebeca 83

    GE2025 Yericko Nyerere amvaa Lema kisa ‘kuwatukana Watanzania kwamba ni Wapumbavu wasiojua kupigania haki zao’

    Mmedoda huko CHAUMMA mmeshaanza kuona mlibugi, huku ni kujitapatapa tu kujionyesha mko relevant!
  2. Rebeca 83

    Kama Ngosha angekuwepo, yule jamaa bonge Mzimbabwe angetia mguu wake kweli hapo Ikulu?

    Afadhali yule lakini...hapa huwa nawaza angemalizia second term tungekuwepo wapi kiuchumi?...huyu yuko incompetent nahisi decisions zote zilikuwa zinafanywa na abdul....projekti zote ni zile alizoacha mwendazake , hivyo vituo vya afya, mashule na kuinvest kwenye kilimo ni hela zetu WATANGANYIKA...
  3. Rebeca 83

    Kama Ngosha angekuwepo, yule jamaa bonge Mzimbabwe angetia mguu wake kweli hapo Ikulu?

    Lakini ni ukweli huyu bi mdashi akiingia mpaka 2030 TANGANYIKA itabaki haina kitu....I bet itakuwa ndio kusanya kusanya ya retirement, vyote vitapelekwa Zanzibar!
  4. Rebeca 83

    Siafu wameua vifaranga shambani

    Pole sana mkuu
  5. Rebeca 83

    Kanisa Katoliki Kirumba lazingirwa na Polisi kisa Mkutano wa CHADEMA, baadhi ya watu wamekamatwa

    Mapolisi nayo ...yana poor living standards mkuu wao ni fisadi yet yanapelekeshwa kama misukule.
  6. Rebeca 83

    Ofisi za TLS zazingirwa na Polisi kuzuia mkutano wa CHADEMA

    Shame on you Samia, kampeni umeachiwa wewe bado unshangaika tu ...umekuwa mfano mbaya wa mwanamke kupewa madaraka
  7. Rebeca 83

    GE2025 Wasira: Badala ya kulalamika fanyeni kazi muwe kama Samia

    Kujenga miundombinu gani...makodi unayolipa yanaenda kwa samia na familia yake!
  8. Rebeca 83

    GE2025 Wasira: Badala ya kulalamika fanyeni kazi muwe kama Samia

    Topic za maccm yasipewe airtime humu kama kiongozi wao anaona this platform is useless akaanzishe ya kwake mambuzi yote yaende huko
  9. Rebeca 83

    Gerson Msigwa: Hakuna uvamizi uliofanyika katika Ofisi za JamiiForums

    Maxence kuwa careful serikali ya sasa sio rafiki usimwamini mtu….kwani serikali haina utaratibu wa kumjulisha mtu Kama wanavisit Kabla ya kwenda kumuona??? Mtaibuka vipi office ya mtu Kama mizuka wapumbavu nyie…
  10. Rebeca 83

    Ninaishi na maumivu

    Pole sana mkuu...cancer is cruel...just imagine 6 years old....
  11. Rebeca 83

    Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Mi nahisi ile topic ya britanicca ya mama kutaka kudaiwa uroda na mwendazake imemgusa kunako bi mdashi...teheeee teheeee bibi we usitufungie jukwaa letu pendwaaaaa wake za watu wanaongoza kwa kugawa uroda maofisini.....!
Back
Top Bottom