Afadhali yule lakini...hapa huwa nawaza angemalizia second term tungekuwepo wapi kiuchumi?...huyu yuko incompetent nahisi decisions zote zilikuwa zinafanywa na abdul....projekti zote ni zile alizoacha mwendazake , hivyo vituo vya afya, mashule na kuinvest kwenye kilimo ni hela zetu WATANGANYIKA...
Lakini ni ukweli huyu bi mdashi akiingia mpaka 2030 TANGANYIKA itabaki haina kitu....I bet itakuwa ndio kusanya kusanya ya retirement, vyote vitapelekwa Zanzibar!
Maxence kuwa careful serikali ya sasa sio rafiki usimwamini mtu….kwani serikali haina utaratibu wa kumjulisha mtu Kama wanavisit Kabla ya kwenda kumuona??? Mtaibuka vipi office ya mtu Kama mizuka wapumbavu nyie…
Mi nahisi ile topic ya britanicca ya mama kutaka kudaiwa uroda na mwendazake imemgusa kunako bi mdashi...teheeee teheeee bibi we usitufungie jukwaa letu pendwaaaaa wake za watu wanaongoza kwa kugawa uroda maofisini.....!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.