Watumishi walilipwa May 22 baada ya hapo mnataka wakaibe hizo Siku ambazo hamjawalipa mtawafidia vipi Mbona ni rahisi tu serikalini inawakosea watumishi kwa kukaa kimya kwani wametimiza wajibu wao
Matokeo Kama haya huwa Yana tufanya tuwe waoga na kutoa kauli kama sisi Ni wapita njia na akili zetu hutukaa vizuri tu. Lakini msiba ukiisha tunarudi kulekule kukomoana,kuchukiana,kuuana kuona wengine takataka kabisa najaribu kuwaza kw sauta kwamba huu woga Ni wakinafiki? Au Nani katuroga?
Sasa inakuaje serikali ya Naijeria inaingilia Kati na kusema kuwe na haki sawa mbona Kama Kuna kitu ambacho Mimi sikijui kipo chini ya kapeti halafu wenzetu Ulaya hiki kitu kipo free
Serikali ya Naijeria imethubutu kwa kutoa tamko kwamba wanakwenda kutoa ruhusa kwa makampuni ya vizimbuzi nchini humo kuwa na haki ya kumili ki maudhui ya urushaji Epl na Uefa na si DStv pekee Kama ilivyo sasa.Na sisi iwe hivyo tumepigwa vya kutosha jamani .
Sasa hivi DStv wamepunguza Bei baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.