Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,251
- 34,198
Habari!
Leo nimekaa nikafikiria, kuna mambo watu tunafanya either kwa kujitoa ufahamu au kwa ku enzi ile kauli ya "love is blind"
Haya makosa ukiyafanya yatakukosti maishani mwako (wakati na baada ya mahusiano).
Kosa la kwanza: Kuingiliwa kinyume na maumbile.
Kosa la pili: Kupiga picha za uchi. Hili linajieleza.
Kosa la tatu: Kusomesha girlfriend/mchumba. Hili haliitaji maelezo zaidi.
Leo naishia hapa.
Kama una akili timamu elewa kama una akili ya kawaida kariri na kama una akili yenye mashaka basi print ubandike mlangoni ili uwe unajikumbusha kila saa.
Nimemaliza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo nimekaa nikafikiria, kuna mambo watu tunafanya either kwa kujitoa ufahamu au kwa ku enzi ile kauli ya "love is blind"
Haya makosa ukiyafanya yatakukosti maishani mwako (wakati na baada ya mahusiano).
Kosa la kwanza: Kuingiliwa kinyume na maumbile.
Kosa la pili: Kupiga picha za uchi. Hili linajieleza.
Kosa la tatu: Kusomesha girlfriend/mchumba. Hili haliitaji maelezo zaidi.
Leo naishia hapa.
Kama una akili timamu elewa kama una akili ya kawaida kariri na kama una akili yenye mashaka basi print ubandike mlangoni ili uwe unajikumbusha kila saa.
Nimemaliza.
Sent using Jamii Forums mobile app