Recent content by Reality of heaven

  1. Reality of heaven

    Msaada Ajira Portal

    Naomba njoo pm mkuu nitakusaidia tatizo lako
  2. Reality of heaven

    Mshahara haujawahi kutosha labda uibe

    Shida yako wewe hutoi fungu la kumi!!! Ndo maana haiwezi kutosha
  3. Reality of heaven

    "Mungu anaangalia roho haangalii mavazi" ni kauli inayohamasisha mmomonyoko wa maadili. Wakristo tuwe na msimamo juu ya mavazi kanisani

    Mungu anaangalia vyitu vyote 2 Wakorintho 7:1 Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu na uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu.
  4. Reality of heaven

    Natafuta King'amuzi cha DSTV

    Habari natafuta mtu yeyote anayeuza kingamuzi cha DSTV aje inbox tuyajenge
  5. Reality of heaven

    Hivi hili bomu kweli viongozi hawalioni? Unemployment rate imekuwa kubwa mno

    Shida ni hao waliowaita kwenye usaili!! Hata kama wameomba watu 100! Chagua watu wachache, sio lazima uite watu wote hao kwa nafasi moja!!
  6. Reality of heaven

    Hivi hili bomu kweli viongozi hawalioni? Unemployment rate imekuwa kubwa mno

    Shida ya wengi wamefocus kwenye kuajiriwa! Tatizo la ajira ni dunia nzima! Na serikali haiwezi kuajiri kila mtu!! Ukitembea na mawazo hayo huwezi kuilalamkia serikali!!
  7. Reality of heaven

    DOKEZO Uonevu uliokithiri Idara ya Elimu Manispaa ya Moshi

    Hili swala limefika mahala pake!! Tunawahitaji wananchi kama nyie! Tamisemi tumelipokea!! Ahsante sana!
  8. Reality of heaven

    Ajira Portal, Help Desk ni kero tupu!

    Ajira portal kama hamuwezi kuwasaidia watu hamna haja ya kuwa na help desk, maana mtu anakuwa na shida anawapigia toka asubuhi mpaka jioni, simu ipo busy, na ikiita haipokelewi. Kwanini msiajiri watu special kwa ajili ya kazi hiyo tu! Kama wanavyofanya mitandao ya simu!! Nyinyi ndo mnaoajiri...
  9. Reality of heaven

    Rais Ruto kukimbilia Tanzania?

    Kwa Hali jinsi ilivyo Nairobi raila sio wa kupuuzwa kabisa!! Haya maandamano hawezi kukabiliana nayo
  10. Reality of heaven

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Ndanda masasi kila siku jioni unakatika, hata leo haupo utarudi mida ya saa saba usiku
  11. Reality of heaven

    BAKWATA yawataka Watanzania kukataa ndoa za jinsia moja, Mufti ashangazwa wanaume kulawitiana ilhali wanawake wa kuolewa wapo

    Warumi 1:24 Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika tamaa za mioyo yao, waufuate uchafu, hata wakavunjiana heshima miili yao. Warumi 1:25 Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakakisujudia kiumbe na kukiabudu badala ya Muumba anayehimidiwa milele. Amina. Warumi 1:26 Hivyo...
  12. Reality of heaven

    Inakuwaje mtu mwenye akili zake timamu anaamini mambo ya Mungu, shetani, uchawi na majini?

    Zaburi 14:1 Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; <br>Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, <br>Hakuna atendaye mema.
  13. Reality of heaven

    Natafuta internship au kazi Electrical Engineering

    Tumia lessen yako hiyo ya Class C kufungua office yako ya installation! Usiwaze kuhusu swala la mtaji! Nenda hapo wilayani kwako kwenye office za Tanesco! Ongea na meneja atakupa muongozo, atakuunganisha na mactroctor wanaohusika na umeme!! Utafanya kazi nao!! Kumbuka hakuna nyumba inayoweza...
Back
Top Bottom