Iko hivi mkuu
Vyanzo vingi vya matatizo yetu ambayo mara nyingi tunashindwa kuyatatua ukubwani tuliyapanda nyakati tukiwa kwenye mchakato wa maisha mda mwingine utotoni huku ukubwani ni kuvuna tu
Mfano.
Labda umewahi shiriki kufukuzwa shule kwa baadhi ya wanafunzi wenzako ukacheka now unavuna...
Ngoja nikushauri mkuu
Boresha vyanzo vyako vya kuingiza kipata pia boresha mausuano yako na Mungu. Ukisha kuwa bora katika hizo njia mbili tafuta na chunguza mke mmoja anayeendana na hizo njia mbili. Utaishi kama mfalme katika hii dunia. Usidhani kuongea na watu wengi ni faida utapata stress...
Nisaidie kujua kitu ndugu
Ukipata nafasi ya kwenda israel kwa program za kilimo
Muda wa Program ukiisha ukaamua kubaki kama immagrant ili kukamilisha lengo fulani la pesa.
Je, ukitaka kuondoka inawezekana mda wowote au taratibu zake zikoje zakuondoka.
Na je nchi inatoa uraia baada ya kukaa...
Nisaidie kujua kitu ndugu
Ukipata nafasi ya kuja israel kwa program za kilimo
Program zikiisha ukaamua kubaki ili kukamilisha lengo fulani la pesa.
Je ukitaka kuondoka inawezekana mda wowote au taratibu zake zikoje zakuondoka.
Na je nchi inatoa uraia baada ya kukaa nchini humo kwa miaka mingapi...
Wewe ndio tatizo,
Tatizo sio mtandao
Mfano ukiwa na nia ya kuvua samaki ziwani ukaambulia kutoka na michanga tatizo litakuwa ziwa au uzembe wako
Kuwa makini kijana wewe ni mpenda kuangalia pilau.
Tumejua😅
Eka 500 Kwa uzoefu wangu wa shamba uko hivi
Tuanzie heka mbili kama ni Pori chafu sana linatakiwa lisafishwe siku 5 Hadi 6 maximum linatakiwa lilimwe na kufanyiwa ploughing maximum siku 6 mashimo Kwa ajili ya kupandia maximum siku 5 Kwa dimension, haya mahesabu ya kutumia only 2 labours na local...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.