Recent content by real hustler

  1. R

    Mkoa gani unaongoza kwa mbu Tanzania?

    Morogoro ina mbu wakubwa nakijua nimetumiwa misukule usiku ininyonye damu Niliteseka sana nikiwa sua
  2. R

    Mnaoomba Mungu na anawasikiliza uwa mnatumia mbinu gani?

    Iko hivi mkuu Vyanzo vingi vya matatizo yetu ambayo mara nyingi tunashindwa kuyatatua ukubwani tuliyapanda nyakati tukiwa kwenye mchakato wa maisha mda mwingine utotoni huku ukubwani ni kuvuna tu Mfano. Labda umewahi shiriki kufukuzwa shule kwa baadhi ya wanafunzi wenzako ukacheka now unavuna...
  3. R

    Hali ya mawasiliano kati yako na ndugu na jamaa ikoje?

    Ngoja nikushauri mkuu Boresha vyanzo vyako vya kuingiza kipata pia boresha mausuano yako na Mungu. Ukisha kuwa bora katika hizo njia mbili tafuta na chunguza mke mmoja anayeendana na hizo njia mbili. Utaishi kama mfalme katika hii dunia. Usidhani kuongea na watu wengi ni faida utapata stress...
  4. R

    Ukipata nafasi ya kwenda Israel kwa program za kilimo

    Nisaidie kujua kitu ndugu Ukipata nafasi ya kwenda israel kwa program za kilimo Muda wa Program ukiisha ukaamua kubaki kama immagrant ili kukamilisha lengo fulani la pesa. Je, ukitaka kuondoka inawezekana mda wowote au taratibu zake zikoje zakuondoka. Na je nchi inatoa uraia baada ya kukaa...
  5. R

    Je Unataka kuwa Muisrael na kuhamia Israel?

    Nisaidie kujua kitu ndugu Ukipata nafasi ya kuja israel kwa program za kilimo Program zikiisha ukaamua kubaki ili kukamilisha lengo fulani la pesa. Je ukitaka kuondoka inawezekana mda wowote au taratibu zake zikoje zakuondoka. Na je nchi inatoa uraia baada ya kukaa nchini humo kwa miaka mingapi...
  6. R

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Msaada Mwenye kujua naweza vipi kupata gb atleast kwa mwezi kwa bei rahisi anisaidie Natumia halotel, voda na tigo
  7. R

    Anayefahamu kijijini wanakouzwa mashamba Kati ya laki 2 Hadi 5 anijuze popote Tanzania

    Naomba kujua pia morogoro Iwe manispaa ya morogoro mjini
  8. R

    Ni mtandao gani unaozuia maudhui ya ngono na mapenzi ya jinsia moja?

    Wewe ndio tatizo, Tatizo sio mtandao Mfano ukiwa na nia ya kuvua samaki ziwani ukaambulia kutoka na michanga tatizo litakuwa ziwa au uzembe wako Kuwa makini kijana wewe ni mpenda kuangalia pilau. Tumejua😅
  9. R

    Sidhani kama Waafrika tutaendelea na kufanikiwa kama Wazungu, Wahindi, Wachina, Waarabu, nk

    Eka 500 Kwa uzoefu wangu wa shamba uko hivi Tuanzie heka mbili kama ni Pori chafu sana linatakiwa lisafishwe siku 5 Hadi 6 maximum linatakiwa lilimwe na kufanyiwa ploughing maximum siku 6 mashimo Kwa ajili ya kupandia maximum siku 5 Kwa dimension, haya mahesabu ya kutumia only 2 labours na local...
  10. R

    Wekezeni kwenye Crypto ya XRP kabla Trump hajaapishwa mtakuja kunishukuru.

    Tuelekeza namna ya kuwekeza hatua Kwa hatua Utakuwa umesaidia wengi
  11. R

    Anamaanisha nini huyu Mwanamke

    Nakazia fukuza, uchumi ukusumbue na goli kipa akusumbue. Tafuta diala mwingine Kwa mtaa
  12. R

    Natafuta mentor wa kunifundisha UTT

    Ingia YouTube msake huyo mwamba umsikilize mara 2 utakuwa umekuwa mwalimu Bora wa wengi
Back
Top Bottom