Hapana tulienda hadi ofisini kwao hapo daressalaam
Kingine ni kuwa mkataba walikuwa wanaficha jina la kampuni na namba ya muajiri
Tukiuliza kwa nini wanasema tunaweza wazunguka
Jumla tuko 9
Mimi ni kijana wa miaka 29, baada ya kumaliza chuo nilipata intern ya kilimo ulaya mwaka 2023_2024
Baada ya kukamilisha nilirudi Tanzania kuendelea na maisha
Sasa katika kupambana ninaye jamaa yangu tuliokuwa naye abroad wote akanishirikisha kuna fursa zingine za kwenda nchini canada yakuwa ni...
Iko hivi mkuu
Vyanzo vingi vya matatizo yetu ambayo mara nyingi tunashindwa kuyatatua ukubwani tuliyapanda nyakati tukiwa kwenye mchakato wa maisha mda mwingine utotoni huku ukubwani ni kuvuna tu
Mfano.
Labda umewahi shiriki kufukuzwa shule kwa baadhi ya wanafunzi wenzako ukacheka now unavuna...
Ngoja nikushauri mkuu
Boresha vyanzo vyako vya kuingiza kipata pia boresha mausuano yako na Mungu. Ukisha kuwa bora katika hizo njia mbili tafuta na chunguza mke mmoja anayeendana na hizo njia mbili. Utaishi kama mfalme katika hii dunia. Usidhani kuongea na watu wengi ni faida utapata stress...
Nisaidie kujua kitu ndugu
Ukipata nafasi ya kwenda israel kwa program za kilimo
Muda wa Program ukiisha ukaamua kubaki kama immagrant ili kukamilisha lengo fulani la pesa.
Je, ukitaka kuondoka inawezekana mda wowote au taratibu zake zikoje zakuondoka.
Na je nchi inatoa uraia baada ya kukaa...
Nisaidie kujua kitu ndugu
Ukipata nafasi ya kuja israel kwa program za kilimo
Program zikiisha ukaamua kubaki ili kukamilisha lengo fulani la pesa.
Je ukitaka kuondoka inawezekana mda wowote au taratibu zake zikoje zakuondoka.
Na je nchi inatoa uraia baada ya kukaa nchini humo kwa miaka mingapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.