Kwa kiasi kikubwa Shinyanga inaendelea kuizidi Mwanza kwa wingi wa viwanda. Na ninadhani hii inachangiwa na kwanza upatikanaji wa maji ya uhakika kwa sasa, pili urahisi wa kupata ardhi kubwa kulinganisha na Mwanza, na tatu ni Barbara.
Tulinganishe hizi data za matumizi ya umeme na hali ya maisha ya wananchi katika mikoa hii. Je matumizi makubwa ya umeme yanaendana na ubora wa hali ya maisha na upatikanajinwa huduma muhimu? Mwenye hizo takwimu atuwekee hapa tulinganishe.
Mimi nakuunga mkono, ugali ni chakula ambacho sikipendi kabisa, Nina miaka kadhaa sijala ugali, tena jumlisha na dagaa ndo basi kabisa. Nikija kukutembelea kwako nikakuta umepika ugali na dagaa azima niombe udhuru niondoke.
Duuh,hii huwa inanikumbusha mbali sana. Tukio hili la kifo cha Baba wa Taifa huendana na kumbukumbu ya Mimi kuachwa na demu wangu kipenzi.
Nakumbuka nilikua Mwaka wa kwanza SUA demu alikua Mwaka wa kwanza UDSM. Dalili za kuachwa zilikuwepo, Weekend ya tarehe 8 nilikua nimeenda ili kujua hatma...
Mkuu Bujibuji ngoja nikupe njia ninayotumia mie kutotupa ugali. Hakikisha ugali unaobaki unauhifadhi kwenye friji ukiwa bonge Moja (unaweza kuuviriga kwa shepu unayotaka).
Asubuhi chukua Ugali ukate slesi jinsi unavyopenda, hizo slesi zinyunyizie chumvi na pilipili manga Kwa mbali. Andaa...
Ni njia moja nzuri sana kama wewe ni adventurous na unwpenda Ku appreciate nature na hupendi usumbufu wa magari mengi barabarani. Unatoka Mbeya kuelekea Chunya kuelekea Tabora. Njia panda ya tabora unaenda kulia itigi.
You will enjoy.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.