Recent content by RB mkumbwa

  1. RB mkumbwa

    Wenye dunia yao wakipanga ya kwao.

    Ni ishara gani hapo imekufanya ukaamini kuwa hao ni feeemason
  2. RB mkumbwa

    Uwoya adaiwa ndio chanzo cha Dogo Janja kuwa na muonekano wa kike

    Anajaribishiwa kama anafaa kwa mauzo
  3. RB mkumbwa

    Wajuvi na Wajuzi wa Draft

    Kete namba 1(KING) unaibananisha hapo na kete namba 2.Akishakula kete namba 3 unatanua king kwenda mwishoni.
  4. RB mkumbwa

    Sina pesa: Nauza laptop yangu bei sawa na buree hii yote ni shida tu!!

    450,000 kwa specifications hizo !!! Utawakamata wauza ubuyu tu
  5. RB mkumbwa

    Toka nianze kuangalia soka sijawahi kumsikia mtangazaji mnoko kama huyu wa Azam

    Basi fuatilia mpira kwenye channel za Kiarabu za BEING SPORT.. Huyo wa Mbao Vs Yanga anatangaza vizuri sana. Wale Waarabu wa Being Sport kama timu yako ndio imefungwa unaweza kuzima TV kabisa.
  6. RB mkumbwa

    Sidhani kama ni busara kwa wazimbabwe kumdharau Rais Robert Mugabe.

    Msikilize Prof Lumumba kaongea vizuri sana nimemuelewa.
  7. RB mkumbwa

    Kwanini General Chiwenga Anacheka Na Mfungwa Wake?

    Liberia iko bara gani ?
  8. RB mkumbwa

    Matapeli wakubwa 5 kuwahi kutokea Tanzania

    Kuna documentary moja niliwahi kuitazama aisee magari yaliyokuwa yanatiririka Loliondo foleni yake ilikuwa hatari. Kwa mujibu wa documentary ile inakadiriwa watu 3,000,000 walifika kupata kikombe cha babu Chukua 3,000,000 × 500 ndio utajua mjini akili. Nguvu peleka shamba.
  9. RB mkumbwa

    Huyu ndio mtu pekee Rais wa Jamhuri hawezi gusa!

    Nilitarajia utaje kifungu cha Sheria/Katiba kinachomzuia Raisi asifanye hivyo kumbe koote ni porojo tu na sound za kufikilika.
  10. RB mkumbwa

    Fid Q: Ommy Dimpoz amefanya hadi nauchukia wimbo wangu wa Fresh

    Ukiingia vitani usimchagulie mwenzako silaha ya kutumia. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. RB mkumbwa

    Ewe mwanaume, zama zimebadilika, upikiwe? Kwanini wewe hupiki?

    Ndio ujue haki sawa haipo. Unadhani hao wana harakati watafanikiwa kuondoa suala la mahali ? Kutoa mahali haimaanishi kumnunua,isipokuwa kukuonyesha tu suala la usawa halipo... Mwanamke abaki kuwa mwanamke na mwanaume abaki kuwa mwanaume.... Hao wanaharakati wako unajua wanaishi vipi ndani ya...
  12. RB mkumbwa

    Kuolewa usipopenda..

    Kufunga ndoa kuna wakati kuna vita sana ya kiroho. Pengine mwanzoni hali hii hakuoiona ila kadri muda unavyozidi kwenda ndio atajikuta anakosa amani na mwenzake kabisa. Ila ikitokea akaolewa tu maan yake vita ya rohoni ameishinda anaweza kujikuta ana amani na mumewe vizuri tu. Sent using Jamii...
  13. RB mkumbwa

    Kijue chombo maalumu Inkwizisheni (Inquisition) cha kutesa

    Wafarisayo katika ubora wenu. Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom