Jeshi la Zimababwe linatambua Comrade Robert Gabriel Mugabe ana wafuasi wa kutosha ndani ya ZANU PF,Jeshini na Uraiani ndio sababu kwa maslahi mapana ya Zimbabwe CDF kakataa kuonesha Siasa za Chuki na kuligawa Taifa.
Uwezo wa kumuondoa Mugabe kinguvu wanao na upo lakin hawajaona busara hiyo kwa kuwa itakuwa ndio chanzo cha chuki na Mgawanyiko ndani ya Taifa lao kama inavyoshuhudiwa Egypt baada ya kuondolewa Hosni Mubarak na Mohamed Mursi.
Uwezo wa kumuondoa Mugabe kinguvu wanao na upo lakin hawajaona busara hiyo kwa kuwa itakuwa ndio chanzo cha chuki na Mgawanyiko ndani ya Taifa lao kama inavyoshuhudiwa Egypt baada ya kuondolewa Hosni Mubarak na Mohamed Mursi.