Huijui tra vizuri, kiwango cha chini cha Kodi ni 150,000 kwa mwaka,na unaruhusiwa kukipa kwahiyo awamu 4 kila baada ya miezi mitatu (37500 @ 3month) , Karina awamu hii Hakuna Kodi ya 60,000 Wala 45,000 nipo kwenye biashara mwaka WA 6 humu, usipende kuleta habari za kusimuliwa.
Huijui tra vizuri, kiwango cha chini cha Kodi ni 150,000 kwa mwaka, Hakuna Kodi ya 60,000 Wala 45,000 nipo kwenye biashara mwaka WA 6 humu, usipende kuleta habari za kusimuliwa.
watu wanaousika na wcs wanaoneka awajajipanga binafsi wali nitumia e mail kuhusu typing skill test leo saa 3 asubuhi hadi sasa hawajani inbox hita kuwa wasanii au maana siwasomi.
Mimi Mwalimu UPENDO Z. MSAKI wa Shule ya Msingi HIDET Wilaya ya Hanang – KATESH Mkoa wa MANYALA natafuta mtu wa kubadilishana naye Aje Huku Manyala mimi niende Wilaya ya Kinondoni – DAR ES SALAAM.
MAWASILIANO:
0762 571448 /0654 154085
SOMA TANGAZO ULILOOMBA KAZI, ANGALIA WAJIBU NA MAJUKUMU YA NAFASI ULIYOOMBA UYAELEWE VIZURI NA MWISHO INGIA KWENYE MTANDAO USOME KWA UNDANI TAARIFA ZA OFISI UNAYOOMBEA KAZI Eg. Kama Umeitwa Wizara ya Mifugo, Fungua Website ya wizara hiyo usome kila kitu kinachohusiana na wizara hiyo husika...
Kwanini Huamini Elimu Bure inawezekana Wakati Imetokea huko Hadi Baba yangu amesoma Bure shule ya msingi mpaka chuo . Nadhani ni busara kujiuliza kwanini sasa hivi kizazi cha Miaka ya 1980's - 2000's Tunachangia wakati Wazazi wetu walisoma Bure? Nataka Nikukumbushe tu hata hii Elimu ya msingi...
Mafoleeeeni. Ila afazali mlivyonibadilishia ATM kuwa master card sasa hivi natoa pesa benki yeyote. Na nikitaka kuweka natumia tigo pesa tu vinginevyo ningeshaifunga na account yenyewe
Kwa uzoefu wangu kila mwaka kuanzia Mwezi 8, 9, 10 ndio kipindi kunakuwaga na mgao kwa nchi nzima. Ila kwa ajili ya uchaguzi kamwe hawawezi kusema MAJI yamepungua na nchi IPO gizani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.