Kwa wale mliowahi kufanya interview utumishi nisaidieni kwenye hili jamani

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
Mambo vipi wakuu?
Naomba tusaidiane format ya written interview utumishi, maswali ni ya mfumo gani, yani ni ya multiple choice au essays? Halafu pia ningependa kujua wanatoa paper generally au ni inayohusu proffessional ya mhusika?

Tusaidiane wakuu maana haya mambo leo kwangu kesho kwa mwingine hivyo thread hii itaweza kuwasaidia na wengine, me nafanya usaili wa planning officer Jumamosi asubuhi lakini sijajua maswali wayatoayo nimejikumbusha tu mambo ya darasani kidogo.
 
Planning officer usiogope kabisa boss
Interview huwa haina kanuni maalumu, jiamini tu mambo yatakuwa sawa mkuu
 
Maswali yao ni general knowledge ya fani yako na haina haja ya kusoma...yanajibiwa kwa essay fupi fupi sana
 
Maswali ni ya essay na ni ya professional yako ila pia soma sana research
 
Soma sana masuala ya inflation,recession,employment and unemployment na money.ila maswali yao hayaji direct kama ya shuleni,ni unapewa uhalisia wa kitu.
 
Mara nyingi huwa ni maswali 4 muda dakika 40, Maswali huwa yanatoka sana kwenye research pamoja na general knowledge ya fani yako.
 
Mambo vipi wakuu?
Naomba tusaidiane format ya written interview utumishi, maswali ni ya mfumo gani, yani ni ya multiple choice au essays? Halafu pia ningependa kujua wanatoa paper generally au ni inayohusu proffessional ya mhusika?

Tusaidiane wakuu maana haya mambo leo kwangu kesho kwa mwingine hivyo thread hii itaweza kuwasaidia na wengine, me nafanya usaili wa planning officer Jumamosi asubuhi lakini sijajua maswali wayatoayo nimejikumbusha tu mambo ya darasani kidogo.
Pepa lilikuaje kijana?? Lete mrejesho!
 
tafuta videsa vya research, tena usome deep so unarasharasha....maswali huwa matano hadi sita, hakuna kuchagua, kujieleza kwa kwenda mbele....proffesional yako utakutana nayo kwenye oral....best of lucky
 
Mambo vipi wakuu?
Naomba tusaidiane format ya written interview utumishi, maswali ni ya mfumo gani, yani ni ya multiple choice au essays? Halafu pia ningependa kujua wanatoa paper generally au ni inayohusu proffessional ya mhusika?

Tusaidiane wakuu maana haya mambo leo kwangu kesho kwa mwingine hivyo thread hii itaweza kuwasaidia na wengine, me nafanya usaili wa planning officer Jumamosi asubuhi lakini sijajua maswali wayatoayo nimejikumbusha tu mambo ya darasani kidogo.
SOMA TANGAZO ULILOOMBA KAZI, ANGALIA WAJIBU NA MAJUKUMU YA NAFASI ULIYOOMBA UYAELEWE VIZURI NA MWISHO INGIA KWENYE MTANDAO USOME KWA UNDANI TAARIFA ZA OFISI UNAYOOMBEA KAZI Eg. Kama Umeitwa Wizara ya Mifugo, Fungua Website ya wizara hiyo usome kila kitu kinachohusiana na wizara hiyo husika. Ukiwin Uje unipe mrejesho
 
SOMA TANGAZO ULILOOMBA KAZI, ANGALIA WAJIBU NA MAJUKUMU YA NAFASI ULIYOOMBA UYAELEWE VIZURI NA MWISHO INGIA KWENYE MTANDAO USOME KWA UNDANI TAARIFA ZA OFISI UNAYOOMBEA KAZI Eg. Kama Umeitwa Wizara ya Mifugo, Fungua Website ya wizara hiyo usome kila kitu kinachohusiana na wizara hiyo husika. Ukiwin Uje unipe mrejesho
Mkuu unaweza kua na dondoo kwenye nafasi za ukufunzi kwenye oral wanapenda kugusia wapi kwenye fani husika
 
Back
Top Bottom