Recent content by Ravalomanana

  1. Ravalomanana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Eti ni kweli ni rahisi kupata mume ila ni ngumu kupata mke?

    Sio kwamba hawapati wanaume ila wanaume wengi wanaowapata hawana vigezo wanavyovitaka
  2. Ravalomanana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Eti ni kweli ni rahisi kupata mume ila ni ngumu kupata mke?

    Tatizo ni timing ,kila mwanamke angekua tayari kuolewa below 27 hizi kelele usingezisikia ila tatizo wakishachuja ndio hutamani kuolewa
  3. Ravalomanana

    JamiiForums Tanzania Kama kila kitu kina faida na hasara zake. Je, kuna faida gani za kuwa masikini?

    Huwezi kuvamiwa na majambazi
  4. Ravalomanana

    JamiiForums Tanzania Barabarani gari zimehadimika wamebaki vidume tu

    Huu ndio muda muafaka sasa wa kwenda Dar kutembea,barabarani hakuna kusongamana
  5. Ravalomanana

    JamiiForums Tanzania Watu wananiogopa bure

    Tafuta pesa
  6. Ravalomanana

    JamiiForums Tanzania Kuna usafirishaji wa magari ya bei kali sana yakiwa kwenye carriers unaendelea kupitia Morogoro road, je yanapelekwa wapi?

    Mbona magari kila siku yanasafirishwa hata hayo ya kifahari,mengi huenda DRC na zambia hata bandari ya Tanga nayaonaga sana hakipitishwa
  7. Ravalomanana

    JamiiForums Tanzania Vale Nafaka kaisaidia Afrika kuwa namba mbili kwa uzalishaji wa mahindi Tanzania

    Ni valentina,valentine ni mwanaume
  8. Ravalomanana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watu wengi wameoa/kuolewa kwa kufata mkumbo na imewagharimu sana

    Yah kimbèmbe ni ukiwa apeche alolo bila kujali uliwahi au ulichelewa
  9. Ravalomanana

    JamiiForums Tanzania “Wanaume Wenye Umri wa Miaka 40 na Kuendelea: Kwanini Unapaswa Kuwa na Chai ya Majani ya Mstafeli, Mpera na Mronge Kwenye Meza Yako Kila Siku”

    Nadhani hii ya nguvu za kiume inategemea na jinsi unavyojali afya,mimi niko 40 lakini sex hainiishi hamu na niko vizuri
  10. Ravalomanana

    JamiiForums Tanzania “Wanaume Wenye Umri wa Miaka 40 na Kuendelea: Kwanini Unapaswa Kuwa na Chai ya Majani ya Mstafeli, Mpera na Mronge Kwenye Meza Yako Kila Siku”

    Ukijali lishe bora ,huna kitambi,huna uzito mkubwa hata miaka 60 nguvu za kiume zinakua vizuri tu,shida tumekariri sisi wabongo kwamba ukifika umri fulani kuna magonjwa ni
  11. Ravalomanana

    JamiiForums Tanzania “Wanaume Wenye Umri wa Miaka 40 na Kuendelea: Kwanini Unapaswa Kuwa na Chai ya Majani ya Mstafeli, Mpera na Mronge Kwenye Meza Yako Kila Siku”

    Ukijali lishe bora ,huna kitambi,huna uzito mkubwa hata miaka 60 nguvu za kiume zinakua vizuri tu,shida tumekariri sisi wabongo kwamba ukifika umri fulani kuna magonjwa ni haki yako
  12. Ravalomanana

    JamiiForums Tanzania Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Uthibisho wa mwisho kabisa wa umbo la dunia ni picha za satellite nazo pia hamziamini?
  13. Ravalomanana

    JamiiForums Tanzania Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Acheni Upotoshaji ,isije kua huko mliko hata hiyo bahari haipo,mimi nipo Tanga natumia sana darubini kuangalia mradi wa bomba la mafuta chongoleani,meli ikishapotea kwenye uono wa macho yako kama ukitumia darubini utakachokiona ni lile eneo ambalo lina curve ya maji ila meli hutaiona
Back
Top Bottom