Recent content by Ravalomanana

  1. Ravalomanana

    Kuna usafirishaji wa magari ya bei kali sana yakiwa kwenye carriers unaendelea kupitia Morogoro road, je yanapelekwa wapi?

    Mbona magari kila siku yanasafirishwa hata hayo ya kifahari,mengi huenda DRC na zambia hata bandari ya Tanga nayaonaga sana hakipitishwa
  2. Ravalomanana

    Watu wengi wameoa/kuolewa kwa kufata mkumbo na imewagharimu sana

    Yah kimbèmbe ni ukiwa apeche alolo bila kujali uliwahi au ulichelewa
  3. Ravalomanana

    “Wanaume Wenye Umri wa Miaka 40 na Kuendelea: Kwanini Unapaswa Kuwa na Chai ya Majani ya Mstafeli, Mpera na Mronge Kwenye Meza Yako Kila Siku”

    Nadhani hii ya nguvu za kiume inategemea na jinsi unavyojali afya,mimi niko 40 lakini sex hainiishi hamu na niko vizuri
  4. Ravalomanana

    “Wanaume Wenye Umri wa Miaka 40 na Kuendelea: Kwanini Unapaswa Kuwa na Chai ya Majani ya Mstafeli, Mpera na Mronge Kwenye Meza Yako Kila Siku”

    Ukijali lishe bora ,huna kitambi,huna uzito mkubwa hata miaka 60 nguvu za kiume zinakua vizuri tu,shida tumekariri sisi wabongo kwamba ukifika umri fulani kuna magonjwa ni
  5. Ravalomanana

    “Wanaume Wenye Umri wa Miaka 40 na Kuendelea: Kwanini Unapaswa Kuwa na Chai ya Majani ya Mstafeli, Mpera na Mronge Kwenye Meza Yako Kila Siku”

    Ukijali lishe bora ,huna kitambi,huna uzito mkubwa hata miaka 60 nguvu za kiume zinakua vizuri tu,shida tumekariri sisi wabongo kwamba ukifika umri fulani kuna magonjwa ni haki yako
  6. Ravalomanana

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Uthibisho wa mwisho kabisa wa umbo la dunia ni picha za satellite nazo pia hamziamini?
  7. Ravalomanana

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Acheni Upotoshaji ,isije kua huko mliko hata hiyo bahari haipo,mimi nipo Tanga natumia sana darubini kuangalia mradi wa bomba la mafuta chongoleani,meli ikishapotea kwenye uono wa macho yako kama ukitumia darubini utakachokiona ni lile eneo ambalo lina curve ya maji ila meli hutaiona
  8. Ravalomanana

    Kwenye hili wakristo mna la kujifunza

    Ukristo haujasema watu wafanye harusi na ndoa za gharama,nenda kanisani funga ndoa b
Back
Top Bottom