Ukijali lishe bora ,huna kitambi,huna uzito mkubwa hata miaka 60 nguvu za kiume zinakua vizuri tu,shida tumekariri sisi wabongo kwamba ukifika umri fulani kuna magonjwa ni
Ukijali lishe bora ,huna kitambi,huna uzito mkubwa hata miaka 60 nguvu za kiume zinakua vizuri tu,shida tumekariri sisi wabongo kwamba ukifika umri fulani kuna magonjwa ni haki yako
Acheni
Upotoshaji ,isije kua huko mliko hata hiyo bahari haipo,mimi nipo Tanga natumia sana darubini kuangalia mradi wa bomba la mafuta chongoleani,meli ikishapotea kwenye uono wa macho yako kama ukitumia darubini utakachokiona ni lile eneo ambalo lina curve ya maji ila meli hutaiona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.