Tatizo la mtoto mwenye uwaraza

Tatizo la mtoto mwenye uwaraza

Monomer

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2023
Posts
669
Reaction score
1,243
Hivi hili tatizo la mtoto kua na ulalavi(kugalagala kitandani) ni ugonjwa,au ni tabia ya kurithi mana sasa anaenda mwaka wa 5(yaani anatimiza miaka 5)lakini habadiliki bado nifanye nini Mimi ili abadilike.

Mwanzo akati mchanga nilijua akikua kua atabadilika lakini ndo kwanza anazidisha ukimulaza peke ake lazima umkute uvunguni kadondoka,pia ukilala nae ni full mateke,mara kakulalia wewe,kakuwekea miguu yaani ni vurugu match ata silali Kwa Raha nikapumzika.

Yeyote ambae alishawahi kua na mtoto mwenye shida kama hii alifanyaje fanyaje mpaka likaisha wakuu.
 
Mi sioni kama hilo ni tatizo. Muache mtoto afanye michezo yake.
Kuna matendo mengine afanyayo mtoto, wewe kama mzazi hutakiwi kuumiza kichwa ikiwa yapo postive.

Sasa michezo ya mtoto kubilingika kitandani nalo ulitafutie dawa jamani?!
Sasa hiyo itakuwa ni dawa gani kama sio ushirikina huo?
 
Hivi hili tatizo la mtoto kua na uwalaza(kugalagala kitandani) ni ugonjwa,au ni tabia ya kurithi mana sasa anaenda mwaka wa 5(yaani anatimiza miaka 5)lakini habadiliki bado nifanye nini Mimi ili abadilike.

Mwanzo akati mchanga nilijua akikua kua atabadilika lakini ndo kwanza anazidisha ukimulaza peke ake lazima umkute uvunguni kadondoka,pia ukilala nae ni full mateke,mara kakulalia wewe,kakuwekea miguu yaani ni vurugu match ata silali Kwa Raha nikapumzika.

Yeyote ambae alishawahi kua na mtoto mwenye shida kama hii alifanyaje fanyaje mpaka likaisha wakuu.
Kiswahili kimebadilika na kukua sana.Kumbe uwalaza/kialaza ni kugalagala?Nimeongeza msamiati.Kuhusu maswali yako,nayafanyia kazi.
 
Mtoto kukupiga mateke au kukusumbua au mara kumkuta chini ya uvungu, ni razima awe hivyo mana watoto wanapenda michezo, mana hata muda mwengina anakufinya na wewe unaumia ila anafanya ni mchezo tu.
 
Hivi hili tatizo la mtoto kua na uwalaza(kugalagala kitandani) ni ugonjwa,au ni tabia ya kurithi mana sasa anaenda mwaka wa 5(yaani anatimiza miaka 5)lakini habadiliki bado nifanye nini Mimi ili abadilike.

Mwanzo akati mchanga nilijua akikua kua atabadilika lakini ndo kwanza anazidisha ukimulaza peke ake lazima umkute uvunguni kadondoka,pia ukilala nae ni full mateke,mara kakulalia wewe,kakuwekea miguu yaani ni vurugu match ata silali Kwa Raha nikapumzika.

Yeyote ambae alishawahi kua na mtoto mwenye shida kama hii alifanyaje fanyaje mpaka likaisha wakuu.
Neno uwalaza umelitumia vibaya ,uwalaza ni tatizo la kupoteza nywele kichwani
 
Back
Top Bottom