Recent content by rasomaka

  1. rasomaka

    Mabomu mawili yaliyoangushwa Japan ni mawili yenye sifa tofauti

    Hoja yako Ni Nini sasa? Kisa umeangalia documentary dstv Basi......
  2. rasomaka

    Nataka nikafanye kazi Ulaya, naomba muongozo

    Karibu Canada. Nipo Montreal QC. Nchi Nzuri sana
  3. rasomaka

    Nimeingia na camera mjini nianzie vipi harakati?

    Kwa jinsi usivyojua kujielezea vizuri, nawaza hiyo Kazi namna utakavyokuwa unaifanya. MUNGU akusaidie tu- tuna vijana wa Hovyo sana hii Nchi.
  4. rasomaka

    Kwa mtoto mtundu ambaye hasikii fanya hichi kitu

    Unaweza kumuua kibahati mbaya aisee
  5. rasomaka

    Je, hizi ni ARV's? Vimekutwa kwa begi la mwanamke

    Imeisha Hiyo. Malukanga (HIV)
  6. rasomaka

    Naomba ufafanuzi treni ya SGR haitakuwa inabeba mizigo?

    Kama Taifa tuna safari ndefu sana. Pamoja na vipindi vyote vya TRC kwenye redio, televisheni, ziara za viongozi mara kwa mara, maelezo kadha wa kadha kutoka Serikalini, nk Bado hujajua SGR kazi yake kubwa Ni Nini? yaani isafirishe watu kwenda Burundi, Rwanda, DRC? Dah
  7. rasomaka

    Pumzika kwa amani Jesca Mmari

    Noma sana. Crdb benki tawi la MlimaniCity poleni
  8. rasomaka

    Toyota Ipsum au Wish? Tumeweka maoni yetu

    Will VS tena mkuu kwenye comparison ya Wish na Ipsum??? Duuhh. Kama Taifa tuna safari ndefu sana
  9. rasomaka

    Tribute to Franco Luambo Makiadi

    Mario aisee
  10. rasomaka

    Uzi wa vyakula tu

    Mkuu hii wapi..?i mean restaurant gani? Au home
  11. rasomaka

    Uzi wa vyakula tu

    Mnadani Dodoma hiyo.
Back
Top Bottom