Kama Taifa tuna safari ndefu sana. Pamoja na vipindi vyote vya TRC kwenye redio, televisheni, ziara za viongozi mara kwa mara, maelezo kadha wa kadha kutoka Serikalini, nk Bado hujajua SGR kazi yake kubwa Ni Nini? yaani isafirishe watu kwenda Burundi, Rwanda, DRC?
Dah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.