Norshad
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,216
- 12,603
Ni kithembe au kinem*e?hii ni siri au uraibu wa kitoto..? Sasa kidole aisee nafikiri ulimi wako utakuwa hadi umetengeneza ramani ya kidole chako! Na kithembe kitakuja tu thawa mrembo..?
Ni kithembe au kinem*e?hii ni siri au uraibu wa kitoto..? Sasa kidole aisee nafikiri ulimi wako utakuwa hadi umetengeneza ramani ya kidole chako! Na kithembe kitakuja tu thawa mrembo..?
WasPole sana...
Halafu wanyonya vidole wengi wa kiume style yao ni hiyohiyo, naona huku akinyonya anakuwa anaingizia gia taratibu
![]()



Kuna m1 huyo yeye ananyonya viwili kingne kile kidogo anaingiza puani..hapo ni hadi usingiz unampitiaKuna vitoto vya kiume mapacha vinanyonya kidole huku mkon mwingine upo unashika kidudu yni kutwa nzimaa mpaka analala apo apo ukimshtua anaacha chap
Take my word for itMkuu hapo kwenye dentition umetuchukua........ Kunyonya vidole kunasababisha mpangilio mbaya wa meno... Lipo wazi😎
HHahaah 😎Take my word for it