Recent content by RASHIDI OMARY

  1. RASHIDI OMARY

    Gamondi kwa kikosi hiki sijui kama utakuwa salama Yanga

    Singida kesho analala mapema tu ngoma itachezwa jumapili ndio mbichi na mbivu itajulikana
  2. RASHIDI OMARY

    Kafungwa Azam, wanaumia Simba

    Yanga kacheza mpira wa kawaida kabisa Azam wamelegea sana
  3. RASHIDI OMARY

    Matangazo kwenye mitandaoni yamezidi

    Huwa nakerwa sana na matangazo kibao nikifungua Internet kwenye simu yangu, MB zangu zinakwenda bure kwenye haya matangazo ambayo kwangu mimi hayanisaidii chochote. Wananzengo wajuzi nipeni njia ya kuyaondoa haya matangazo yanaboa mno.
  4. RASHIDI OMARY

    Msaada ndugu zangu dawa ya kunguni

    Nawashukuru sana kwa ushauri wenu ule wa maana nitaufanyia kazi haraka kwa kweli kunguni ni wasumbufu sanaa
  5. RASHIDI OMARY

    Msaada ndugu zangu dawa ya kunguni

    Miezi kadhaa iliyopita nilipata wageni toka kijijini walikaa kwangu kama mwezi hivi kumbe waliniachia balaa la kunguni. Nimetumia dawa mbali mbali kupambana nao bado wananisumbua naomba msaada kwa anayejua dawa kali niwamalize maana ndani hakulaliki.
  6. RASHIDI OMARY

    Simba SC Nawapenda mno, ila kwa hili mtanisamehe kwani nahisi kuna tatizo mahala

    Simba bado haijajipanga mambo mengi wanakurupuka Yanga wapo vizuri sana wanapanga mambo yao kitaalamu zaidi tusubiri ngao ya hisani ndio watu watajua ubora na mipango ya Yanga inavyolipa
  7. RASHIDI OMARY

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kweli za masihara zimekwisha watu wanaleta porojo za kutunga kuchangamsha uzi
  8. RASHIDI OMARY

    Nimechoka kusubiri safari yangu ya kusaka mke imeanza rasmi

    Mungu akusimamie ndoto yako iwe kweli
  9. RASHIDI OMARY

    Nipeni ushauri, anamuimba Manzi yangu

    Hata ulichoandika hakieleweki
  10. RASHIDI OMARY

    Hii nguvu si mchezo: Kitenge, Zembwela na Hando wapewa escort ya ving'ora Dubai

    Hao jamaa hawana cha maana walichokifanya kukaa kwao Dubai, walitakiwa waongelee MKATABA wa pande zote mbili na sio ufanisi wa DP HII NDIO SHIDA YA KUPELEKA MAMBUMBU wasiojua sheria na MKATABA ya kimataifa sehemu noetic wamenisikitisha sana
Back
Top Bottom