Recent content by rashidi abdul

  1. rashidi abdul

    JamiiForums Tanzania Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

    Mhhh....mm nasikia wale wanaotoa tigo ndio hawana hizo sasa sijui ndio unataka kuanza na ww
  2. rashidi abdul

    JamiiForums Tanzania Waziri Mbarawa atofautiana na Makonda, ataka Magari ya Serikali yatengenezwe na TAMESA

    Peleka Tamesa kama ujaambiwa yapigwe mnada hayafai tena
  3. rashidi abdul

    JamiiForums Tanzania Prof. Patrick Lumumba: Rais Magufuli ni kiongozi mwenye ubora wa kipekee Afrika!

    Hugo pro naye apewe shavu kama wenzake kwani ana shavu gani sirikalini
  4. rashidi abdul

    JamiiForums Tanzania Simba yaitega Yanga

    Sasa hapo simba wameitegaje yanga
  5. rashidi abdul

    JamiiForums Tanzania Hongera DC wa Ilala Sofia Mjema kwa busara yako kutii na kuwaondoa FFU katika mkutano wake!!

    Mkongoto waliopewa na hao walinda amani wamaana hawana amu nao
  6. rashidi abdul

    JamiiForums Tanzania Waziri Mwakyembe afunguka kuhusu vyombo vya habari

    Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe amesema Serikali inatambua haki ya vyombo vya habari katika kukosoa, kujadili na kuchambua masuala mbalimbali. Hata hivyo, amesema visivuke mipaka na kuhatarisha masilahi ya Taifa katika kufanya kazi zake. Dk...
  7. rashidi abdul

    JamiiForums Tanzania Bocco yuko fiti kuichezea Simba SC dhidi ya Yanga SC jumamosi

    MSHAMBULIAJI wa Simba, John Raphael Bocco yuko fiti kwa mchezo na mahasimu wa jadi, Yanga Jumamosi Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam baada ya kupona maumivu ya mguu. Mshambuliaji wa zamani wa Azam FC, jana na leo amefanya mazoezi kikamilifu katika kambi ya Zanzibar kujiandaa na mechi ya Jumamosi...
  8. rashidi abdul

    JamiiForums Tanzania Kama hautumii vyakula hivi, nguvu za kiume utazisikia redioni

    Kwani watu wa Dar ndio hawana .......... nguvu za kutosha
  9. rashidi abdul

    JamiiForums Tanzania Kama hautumii vyakula hivi, nguvu za kiume utazisikia redioni

    Nguvu za kiume ni nini? Huu ni uwezo wa mwanaume kuweza kusimamisha uume wake na kuhimili mda mrefu kwenye tendo la ndoa bila kuchoka kirahisi. Waswahili wanasema ni “uwezo wa gari kupiga starter lenyewe bila kusukumwa” Utafiti unaonyesha kati ya wanaume watatu, mmoja ana tatizo la nguvu za...
  10. rashidi abdul

    JamiiForums Tanzania UPDATES: Madhara ya mvua inayoendelea kunyesha Tanzania katika picha

    Hali ya hewa uku kwetu mbagala ni mvua ya maana sijui kama itamwacha mtu salama uko kwenu vp
  11. rashidi abdul

    JamiiForums Tanzania Jerry Muro: Tundu Lissu njoo uone

    Ushaidi tupe
  12. rashidi abdul

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke mwenye tabia njema wa kuoa

    Utapata wameona post yako
Back
Top Bottom