Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

Nakushauri usiznyoe mkuu..ukiznyoa ztaota nyingi zaidi thn itakuwa kero kwako....
Ukiamua kunyoa tumia mkas zkate juu juu tu...though yakiwa mengi sana ukikata gogo zitachafuka na gogo thn itakuwa easy kwako kupata magonjwa
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau
Mkuu unajulisha kuwa unatoa 0713?
 
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi hahahahaha yuko busy kujipinda huku na kule ili aweke upara!!! ila umenichekesha sana Mkuu! Dah!

".....kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa "

UNATAKA ugundue nini baada ya kuzinyoa
 
Sivipendi hvyo vinywele kabisa kwanza vinaleta kaharufu ila sasa mtihani ni namna ya kuviondoa cjui unakaa style gani kila nikijaribu naona kero, huwa navitoa hata kwa mwaka mara moja
C umwambie mumeo akusaidie
 
Mmmmh..!! samahanini jmn, maybe mm ni mgeni na huyo mtoa mada simfahamu kwa nyuzi zake....nimeona ameuliza tu ss kwann tusimshauri kwa ustaarabu au kumuelewesha kwamba kufanya hivyo kunaashilia hik na hik,

unakuta wengine ndo wanakua halafu kwao hawana watu wa kuongea nao kuhusu hivi vitu, aisee nimeshangaa mmemshambulia hadi sio vizuri.
Wee jamaa mstaarabu sana, acha kwanza tuvunjike mbavu kidogo!!!
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..

Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..

Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..

Karibuni wadau
Zinasaidia kupunguza msuguano wakati wakutembea. Kwa wanawake hawawwzi kuona tofauti zikiwepo au zisiwepo kwa kuwa wao hupaka mafuta maeneo hayo. Wanaume toka wapakwe mafuta kitaa hicho wakiwa wachanga hawahangaikagi tena wakikua. We wakwanza kushughulishwa nazo.
 
b77f9cc16b91cbf5816f483d22303f0c.jpg
 
Back
Top Bottom