rashidi abdul
Member
- Oct 24, 2017
- 14
- 8
Mhhh....mm nasikia wale wanaotoa tigo ndio hawana hizo sasa sijui ndio unataka kuanza na ww
ww jose si una mtihani?hebu kwendq class hukooo".....kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa "
UNATAKA ugundue nini baada ya kuzinyoa
Mkuu unajulisha kuwa unatoa 0713?Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..
Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..
Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..
Karibuni wadau
ww jose si una mtihani?hebu kwendq class hukooo
".....kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa "
UNATAKA ugundue nini baada ya kuzinyoa
hatari sana mkuuKwi kwi kwi kwi kwi kwi hahahahaha yuko busy kujipinda huku na kule ili aweke upara!!! ila umenichekesha sana Mkuu! Dah!
C umwambie mumeo akusaidieSivipendi hvyo vinywele kabisa kwanza vinaleta kaharufu ila sasa mtihani ni namna ya kuviondoa cjui unakaa style gani kila nikijaribu naona kero, huwa navitoa hata kwa mwaka mara moja
Unazunguka sana c umuombe tuMkuu unajulisha kuwa unatoa 0713?
Wee jamaa mstaarabu sana, acha kwanza tuvunjike mbavu kidogo!!!Mmmmh..!! samahanini jmn, maybe mm ni mgeni na huyo mtoa mada simfahamu kwa nyuzi zake....nimeona ameuliza tu ss kwann tusimshauri kwa ustaarabu au kumuelewesha kwamba kufanya hivyo kunaashilia hik na hik,
unakuta wengine ndo wanakua halafu kwao hawana watu wa kuongea nao kuhusu hivi vitu, aisee nimeshangaa mmemshambulia hadi sio vizuri.
Zinasaidia kupunguza msuguano wakati wakutembea. Kwa wanawake hawawwzi kuona tofauti zikiwepo au zisiwepo kwa kuwa wao hupaka mafuta maeneo hayo. Wanaume toka wapakwe mafuta kitaa hicho wakiwa wachanga hawahangaikagi tena wakikua. We wakwanza kushughulishwa nazo.Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala..
Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani twazifamahu,hizi kikwetu wanapenda kuita (samahanini wana jf )makata m.....a.....v! ..
Sasa swali langu jeee kuna ubaya kuziondoa hizi nyweli yani nikakwangua hasa mpaka sehemu ikawa paraa .pia kama wapo ambao wananyoa na wale ambao hawanyoi basi tubadilishane mawazo kuhusu hili..
Karibuni wadau
anachofanya mwanamke na wewe unataka ufanye ..? mengine achana nayo sio utamaduni wa upande huuKwa hvyo na wanawake nao wasitoe waache zikue ili wasipate hzo atharii au??
Mh..... Nkajua ndo unanyoa kumbe unatunisha msuli