<br />
<br />
hiiiii!!! Nibora angekuja salim klk mkwele, kwakua alikua mzuri wa sura ndo mana, sikutegemea kua hata ww beni km ungetuachia huyu mzur! Mana ww ndo chanzo cha matatizo tulonayo, lkn maandiko yanasema malipo nihapapa gunian haya jk pambana tuone nasisi waripa kodi wenye dhiki na...
Hii inchi itaacha lini tabia ya kufuja pesa za walipa kodi jamani? Sasa hata apo kunahitaji ngoma? Hiyo pesa itakayo tumika kwaajili ya ngoma wizara ituletee huku kwetu japo tuzibe mashimo mana nikero,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.