Kijana najituma sana kwa huyu mama, lakini bahili!

Heshima mbele wana jamvi!. Hii ni true story na siyo tungo.<br />
<br />
Ni mara chache sana huwa napita kwenye jukwaa hili la MMU....jukwaa la siasa ndiyo maskani yangu hasa.<br />
Ila kutokana na issue ambayo inanichanganya kidogo,nimeona si mbaya kwa leo nikipita huku ili kupata maoni kidogo juu ya swala hili.<br />
Binafsi mie ni kijana,siko chini ya miaka 29 na sijafikia miaka 35. Kama mnavyojua mambo ya mjini katika mizunguko ya hapa na pale<br />
siku moja nikakutana na lijimama (mke wa mzito fulani) yaani ni lijimama la nguvu,limepanda hewani,maji ya kunde. Umri wake nahisi ata<br />
kuwa kwenye 55 au 60. Tokea tumeanza mahusiano huu ni mwezi kama wa 7 hivi, lakini kitu ambacho kinanisikitisha ni hubahiri wa huyu<br />
mama kwenye pesa. Yaani ananipeleka kwenye hotel za bei na analipia room kuanzia elfu 50 hadi 80,nakula na kunywa ninachokitaka na <br />
analipa bili yote! lakini linapokuja swala la kumuomba anisaidie pesa kiasi fulani' basi hapo huwa mbogo na mkali....na hiyo pesa hanipi.<br />
Kama kujituma tuwapo kwenye 6x6 najituma sana hadi mwenyewe anaridhika,lakini likija swala la mimi kutaka pesa mama anakuwa bahili.<br />
Sasa najiuliza, maisha haya mpaka lini? ukizingatia kitu ninachokifanya ni zambi kwa mungu! na mke wa mtu ni sumu. Lakini majuzi kaniam<br />
bia eti kuna kitu cha maana sana atanifanyia na nitafurahi sana....lakini simwamini kutokana na ubahili wake (lakini ni family yenye mshiko)<br />
<br />
Naombeni ushahuri wenu jamani! - Je ni kweli iko siku atanitoa au ananitumia tu kama condom?.
<br />
<br /
pole kijana, huyo mama sio m2 mzuri kwako atakuharibia maisha yako....!
 
Vijana wenzako huwaoni? Kupenda dezo ni ugonjwa mkubwa sana. Huoni hata aibu kumlala 'mama yako'?
 
kamanda hata jukwaa la Siasa napendekeza wamfungie asiweze kupost,mtu anayekubali kuwa malaya wa kiume tena kwa mama wa over 60 ataleta mawazo gani yenye manufaa kwa Tanzagiza ?
Pili jina alilochagua kulitumia hapa linaashiria mwisho wake mbaya,Mshikachuma angalia lilivyofanana na usemi mpya uliobadili ule wa kushikishwa ukuta,siki hizi wanaita KUSHIKISHWA BATI-yaani paa la nyumba.
Mshikachuma nakuhakikishia kuwa kwasababu mume wa huyu mama atakuwa over 65 akigundua uhusiano huu ni dhahiri hataweza kukushugulikia mwenyewe lakini kuna uwezekano mkubwa akakodisha kundi la wahuni ambao mziki wao hautausahau maishani mwako.
Mkuu hebu punguza hasira! hivi ni vitu vya kawaida hapa mjini! naona unaponda jina langu na kulitolea mifano kibao isiyo ya ukweli.
Hivi unafikiri watu wamekaa ndani ya ndoa zaidi ya miaka 20 au na zaidi unafikiri hawachokani? ukizingatia baba anasafiri sana kikazi nje ya nchi na pia anapesa za kumwaga za kuspend na wanawake wengine? Ninakiri kwa kupiga magoti kuwa ninachokifanya si kizuri machoni mwa watu na kwa mungu pia, lakini haya ni mambo ya kawaida tu hapa mjini and i'm not the first one to do that.....sema kwa vile mama mwenyewe akati ndiyo hivyo tena nafikiria kusepa
 
wanaita ujira wa mwia.......(according to Shibuda)<br />
<br />
<br />
huyu kijana hana akili timamu...
<br />
<br />
inasikitisha sana cjui kama angekuwa wa jinsia ya pili na tabia hizi angekuwa anatuelezea madhara gan muda huu
 
Yaani kila nikipitia huu uzi; mbavu sina kwa kucheka!

Hii kitu sio kweli wala nini; amereverse trend makusudi ajue what do pipo think when it comes to mwanaume kutaka kumchuna mwanamke! And l like it, the way watu walivyomshambulia n the guy is so cool!
 
Khaaaaaaaaaaaa, puuuuu. Choo cha baa.
Njaa itakuua kabla hujawa kijana kamili. Elimu yako ni darasa la ngapi wewe? Unatuaibisha wanaume.
 
Heshima mbele wana jamvi!. Hii ni true story na siyo tungo.<br />
<br />
Ni mara chache sana huwa napita kwenye jukwaa hili la MMU....jukwaa la siasa ndiyo maskani yangu hasa.<br />
Ila kutokana na issue ambayo inanichanganya kidogo,nimeona si mbaya kwa leo nikipita huku ili kupata maoni kidogo juu ya swala hili.<br />
Binafsi mie ni kijana,siko chini ya miaka 29 na sijafikia miaka 35. Kama mnavyojua mambo ya mjini katika mizunguko ya hapa na pale<br />
siku moja nikakutana na lijimama (mke wa mzito fulani) yaani ni lijimama la nguvu,limepanda hewani,maji ya kunde. Umri wake nahisi ata<br />
kuwa kwenye 55 au 60. Tokea tumeanza mahusiano huu ni mwezi kama wa 7 hivi, lakini kitu ambacho kinanisikitisha ni hubahiri wa huyu<br />
mama kwenye pesa. Yaani ananipeleka kwenye hotel za bei na analipia room kuanzia elfu 50 hadi 80,nakula na kunywa ninachokitaka na <br />
analipa bili yote! lakini linapokuja swala la kumuomba anisaidie pesa kiasi fulani' basi hapo huwa mbogo na mkali....na hiyo pesa hanipi.<br />
Kama kujituma tuwapo kwenye 6x6 najituma sana hadi mwenyewe anaridhika,lakini likija swala la mimi kutaka pesa mama anakuwa bahili.<br />
Sasa najiuliza, maisha haya mpaka lini? ukizingatia kitu ninachokifanya ni zambi kwa mungu! na mke wa mtu ni sumu. Lakini majuzi kaniam<br />
bia eti kuna kitu cha maana sana atanifanyia na nitafurahi sana....lakini simwamini kutokana na ubahili wake (lakini ni family yenye mshiko)<br />
<br />
Naombeni ushahuri wenu jamani! - Je ni kweli iko siku atanitoa au ananitumia tu kama condom?.
<br />
<br />
We ni kilema huwezi kujitafutia vya kwako? We subili kupigwa pala la nguvu hiyo ndio itakuwa zawadi yako,si unajua mla huliwa?
 
Heshima mbele wana jamvi!. Hii ni true story na siyo tungo.

Ni mara chache sana huwa napita kwenye jukwaa hili la MMU....jukwaa la siasa ndiyo maskani yangu hasa.
Ila kutokana na issue ambayo inanichanganya kidogo,nimeona si mbaya kwa leo nikipita huku ili kupata maoni kidogo juu ya swala hili.
Binafsi mie ni kijana,siko chini ya miaka 29 na sijafikia miaka 35. Kama mnavyojua mambo ya mjini katika mizunguko ya hapa na pale
siku moja nikakutana na lijimama (mke wa mzito fulani) yaani ni lijimama la nguvu,limepanda hewani,maji ya kunde. Umri wake nahisi ata
kuwa kwenye 55 au 60. Tokea tumeanza mahusiano huu ni mwezi kama wa 7 hivi, lakini kitu ambacho kinanisikitisha ni hubahiri wa huyu
mama kwenye pesa. Yaani ananipeleka kwenye hotel za bei na analipia room kuanzia elfu 50 hadi 80,nakula na kunywa ninachokitaka na
analipa bili yote! lakini linapokuja swala la kumuomba anisaidie pesa kiasi fulani' basi hapo huwa mbogo na mkali....na hiyo pesa hanipi.
Kama kujituma tuwapo kwenye 6x6 najituma sana hadi mwenyewe anaridhika,lakini likija swala la mimi kutaka pesa mama anakuwa bahili.
Sasa najiuliza, maisha haya mpaka lini? ukizingatia kitu ninachokifanya ni zambi kwa mungu! na mke wa mtu ni sumu. Lakini majuzi kaniam
bia eti kuna kitu cha maana sana atanifanyia na nitafurahi sana....lakini simwamini kutokana na ubahili wake (lakini ni family yenye mshiko)

Naombeni ushahuri wenu jamani! - Je ni kweli iko siku atanitoa au ananitumia tu kama condom?.

Mtoto wa kiume hategemei mwanamke, unaweza kupakatwa hivi hivi.
 
help me with my kiswahili,female prostute anaitwa malaya, wa kiume aitwaje? globalisation is affecting me big tyme,mweh!<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />

Mwayomwayo huyu....kama nilimwelewa Bi Mkubwa FF mahali!
 
Hivi kijana lijali huoni aibu kujiingiza kenye uhusiano ili ujipatie pesa??
akitokea basha wa zenji mwenye mkwanja utapona kweli, kust askin sina nia mbaya
ila inasikitisha sana, kwani huyo mama alikuwa hakufurahishi ni wewe tu ulimfurahisha?
 
na ulivyo zoba unatuambia sisi ili iweje ? tukamwambie huyo mama akupe mshiko zaidi?......na kwa nini unajisifu na service yako??hilo jimama ndio linajua kama unajituma ipasavyo au mbabaishaji tutolee upuuzi wako hapa
 
Mtoto wa kiume hategemei mwanamke, unaweza kupakatwa hivi hivi.
Mkuu Kiranga heshima mbele! Hapa hapakatwi mtu ng'o! kila kitu kinaenda kimpangilio....na hivi keshokutwa tunaenda kupumzika visiwa vya karafuu kwa siku 2....sehemu moja inaitwa Nungwi. Ila siyo siri mkuu wangu huyu mama ananipenda sana,ila ni mkono wa birika. Anywayz ahsante kwa mchango wako
 
help me with my kiswahili,female prostute anaitwa malaya, wa kiume aitwaje? globalisation is affecting me big tyme,mweh!<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />

Mimi namwita Malaya pia, why not? Ila kwa mtazamo wangu wote hawafai, awe mwanamke au mwanaume equally!
 
Kwakua ni mke wa mtu tegemea mambo yafuatayo,KUKATWA UUME,KUINGIZWA SPOKU KWENYE UUME AU KUFANYIWA KITU MBAYA
Mkuu hebu punguza hasira! hivi ni vitu vya kawaida hapa mjini! naona unaponda jina langu na kulitolea mifano kibao isiyo ya ukweli.<br />
Hivi unafikiri watu wamekaa ndani ya ndoa zaidi ya miaka 20 au na zaidi unafikiri hawachokani? ukizingatia baba anasafiri sana kikazi nje ya nchi na pia anapesa za kumwaga za kuspend na wanawake wengine? Ninakiri kwa kupiga magoti kuwa ninachokifanya si kizuri machoni mwa watu na kwa mungu pia, lakini haya ni mambo ya kawaida tu hapa mjini and i'm not the first one to do that.....sema kwa vile mama mwenyewe akati ndiyo hivyo tena nafikiria kusepa
<br />
<br />
 
Hivi kijana lijali huoni aibu kujiingiza kenye uhusiano ili ujipatie pesa??
akitokea basha wa zenji mwenye mkwanja utapona kweli, kust askin sina nia mbaya
ila inasikitisha sana, kwani huyo mama alikuwa hakufurahishi ni wewe tu ulimfurahisha?
dear salama ? huyu bwana mdogo hataki kukubali kuwa kama kakubali kulelewa na jimama na labda limwache na hali ni mbaya kifedha nini kitazuia alelewe na jibaba lenye hela kama kazoea kulelewa ?
Hataki pia ukweli kuwa mume wa mama akigundua kuna uwezekano wa yeye kukodiwa wahuni kumuondoa bikra ya mtandao tena bila kinga na uwezekano wa kuambikizwa Ukimwi na huyo jimama au hao vijana wa kihuni ?
 
Hivi kijana lijali huoni aibu kujiingiza kenye uhusiano ili ujipatie pesa??
akitokea basha wa zenji mwenye mkwanja utapona kweli, kust askin sina nia mbaya
ila inasikitisha sana, kwani huyo mama alikuwa hakufurahishi ni wewe tu ulimfurahisha?
Mkuu Gaga punguza ukali wa maneno! Hao mabasha wa zenji na comoro hawapo kwenye topic yangu, ila kama unataka nifunguke zaidi sema tu
nitakuambia ninachowafanyiaga watu kama hao. Alafu i wish ungeniona how i look! mzee ninabody ya kiwest Africa,kitu black alafu nimepanda hewani.....yaani ni full kuuza sura! anyway hata hivyo ahsante kwa mchango wako
 
Back
Top Bottom