Recent content by raraa reree

  1. raraa reree

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Video: Bi Haika Lawere; Wanawake ficheni Mali Zenu, Wanaume Ni Matapeli

    Jamaa kumbe kaenda kuopoa miss wa zamani ebhanaeee
  2. raraa reree

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Video: Bi Haika Lawere; Wanawake ficheni Mali Zenu, Wanaume Ni Matapeli

    Japo video imeanzia kati ila sijaona ttz kwa aliyo yaongea Ni kama mtu sio mume wake mwanamke hatakiwi kufunguka sana hasa kwenye mali zake
  3. raraa reree

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Dunia kweli inabadilika germany sasa hivi ina Thiaw tah
  4. raraa reree

    JamiiForums Tanzania Wapenzi wa Mashindano ya Pikipiki, mnaangaliaga “Isle of Man TT”? Mashindano ya vyombo vya moto ya Hatari zaidi Duniani!

    Kuna pepo la haya mavitu naona lime niingia na mimi najaribu kukemea naona linazidi kuniganda
  5. raraa reree

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je vijeba hawa watafurukuta ķombe la dunia? Ronaldo miaka 41 na Messi muaka 39!

    Messi anaweza kufurukuta Ronaldo apumzike tuu
  6. raraa reree

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Bandari wanazuia mizigo ya watu kama bidhaa ulizoleta zinafanana na za tajiri fulani

    Mapapa wako makini na hiyo biashara yao wana kushukia kama mwewe
  7. raraa reree

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Wanacheza kwa fairplay sana
  8. raraa reree

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Wanajua kukimbia uwanjani hawa
  9. raraa reree

    JamiiForums Tanzania Stephen Wasira: Ujamaa bado ni msingi wa maendeleo ya Nchi

    Zidumu fikra za mwenyekiti
  10. raraa reree

    JamiiForums Tanzania Busega: Mwalimu wa shule ya sekondari Chegeni ashikiliwa kwa mauaji ya Mhandisi Wa idara ya maji,Bwana Sifael Senzota

    Juzi tuu ililetwa habari ya waalimu kumuuwa mwanafunzi leo tena mwalimu kauwa mhandisi Bado hatua kidogo hii taaluma ita tangazwa kama kikundi cha wahalifu
  11. raraa reree

    JamiiForums Tanzania Midoli ya kike iliyo uchi ipigwe marufuku Sinza na Kariakoo!

    Ivalishwe tu madera
  12. raraa reree

    JamiiForums Tanzania Kuna siku ukweli wote utajulikana wazi kuhusu kifo cha Nyerere, lakini kwa wenye akili alichosema Jenerali Ulimwengu kinatosha

    Kwakweli ni magazijuto Baada ya utaifishaji Nyerere mwenyewe akamteua kuwa mwenyekiti wa bodi kwenye karibia mashirika yote ya umma
  13. raraa reree

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mwalimu wa Chuo Kikuu cha Kampala (KIUT) aamuru Wanafunzi wapige magoti wakati anafundisha

    Mna pigishwa magoti na mwalimu mpo chuo 😆 nyie wawapi nyie
Back
Top Bottom