Recent content by Raphael Kanunha

  1. Raphael Kanunha

    Msaada wa elimu ya ufugaji kuku

    Inachukua muda gani?
  2. Raphael Kanunha

    Msaada wa elimu ya ufugaji kuku

    Ninaomba wadau mwenye utaalamu na ujuzi juu ya elimu ya ufugaji kuku wa kisasa na kienyeji tuwasiliane ili apate kunisaidia.
  3. Raphael Kanunha

    Mabasi ya Yatokayo Bukoba Dar-Bukoba -Arusha YATEKWA

    Hii ndo Tanzania kwa kweli inauma.
  4. Raphael Kanunha

    JK: Red Brigade, Green Guard na Blue Guard jibu hili hapa!

    Uko sawa mkuu. Ni suala ndani ya fikra na ni vyema limewekwa jamvini kwa 'Great Thinkers' ulilonena walifanyie kazi.
  5. Raphael Kanunha

    Kifo cha mama mzazi wa proffesor J

    R.I.P Mama yetu.
  6. Raphael Kanunha

    Polisi waua tena Morogoro akiwa chini ya ulinzi wa Polisi

    Maisha ya mwanadamu anapotokwa na uhai huwa yanaambatana na sababu mingi sana ila kwa kuwa mwenye kidhibiti ndo mwizi basi tusubiri riport ya Daktari.
  7. Raphael Kanunha

    Dkt. Wilbroad Slaa ndio chanzo cha migawanyiko CHADEMA

    Kweli watanzania tumejikita kwenye njaa zaidi. Hivi kwa mtu mwenye akili timamu anawezaje kwenda kuzima moto kwa jirani wakati kwake ndo uko unaendelea kuteketeza kilichomo ndani? I now believe that "tuna laana ya fikra" Dr Slaa achana na hao wanaotumiwa na mwisho wa siku wanaambulia kofia na...
  8. Raphael Kanunha

    hli ni basi la aina gani?

    La mchina!
  9. Raphael Kanunha

    Sihitaji teeena kufanya kazi SERIKALINI

    Mbona hata ww unafanana na mama yako hatujasema?
  10. Raphael Kanunha

    Marekani yatoa onyo kali kwa msafara wa Rais Obama Dar Es Salaam

    Tumia akili ww. Aliyekwambia Chadema wana Mabomu ya kichina ni nani kama si ufinyu wa ubongo wako? Are you a Gamba?
  11. Raphael Kanunha

    Video ya ukweli ya mlipuko wa bomu Arusha itatoka lini?

    Kamwe hawawezi kurudia makosa kama yaliyotokea kwa Mwangosi hvyo wamejipanga kuitumia ipasavyo. Mkuu vuta subira itatoka tu. Achana na hao mawakala wa magamba.
  12. Raphael Kanunha

    Balali aonekana ugly places

    Janga jingine hilo.
  13. Raphael Kanunha

    Mzee wa upako na magari

    Tena sana zaidi ya siasa.
  14. Raphael Kanunha

    Madhehebu ya Kikristo kuitenga Serikali

    Mambo ndo hayo. Kwanza mi naona wamechelewa na ingebidi waanzie kwenye mlipuko wa Arusha. Hatuwezi kubembeleza serikali wakati ni jukumu lake kulinda raia na mali zao. Good job.
  15. Raphael Kanunha

    Mdogo wake Mbowe ahusishwa kuharibu matokeo baraza la mitihani.

    Namshangaa huyo mbunge anaedai eti mdogo wake Mbowe kaharibu matokeo. Hivi anatumia kanuni ipi ya bunge inayomruhusu kumchafua Kamanda Mbowe? Kama anatimamu angesema waziri wa Elimu awajibike na watu wake na si kumhusisha mtu ambaye hausiki kabisa. Ila simlaumu sana nadhani hii yote ni ishara ya...
Back
Top Bottom